Thursday, 30 January 2014

Maulid ya Madrassa Abbasiyya Mtaa wa Mkunguni, Dar es Salaam 28 Mfungo Sita 1435/30 Januari 2014

Maulid ya Madrassa ya Abbassiya Yafana

Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi

Sheikh Abbas bin Sheikh Ramadhani Abbas akimwongoza Makamu wa Kwanza wa Rais
wa Zanzibar Balozi Seif Iddi Kuingia Maulidini

Madrassa Abassiyya ni chuo kilichoanzishwa na Al Marhum Ramadhani Abbas katika miaka ya 1950 na kimedumu hapo kilipo Mtaa wa Mkunguni No. 4 toka wakati huo hadi sasa. Maulid ya Abbasiyya yalianza miaka ya 1980 na yamedumu yakisomwa kila mwaka toka enzi hizo. Maulid ya Abbassiyya yanasomwa tarehe sawa na Maulid ya Lamu, Maulid ya Seyuni  na sehemu nyingine duniani. Sheikh Ramadhan Abbas alikuwa miongoni mwa wanafunzi wa Mufti Sheikh Hassan bin Amir.



No comments: