Thursday, 26 May 2016

WELCOMING RAMADHAN CONFERENCE KARIBU MGENI WETU IMAM QASSIM IBN ALI KHAN


Photo

Photo

Photo

Photo

Photo

Photo

Photo

Photo

MAMBO 10 YA KIPEKEE WELCOMING RAMADHAN CONFERENCE 1437H
1. Theme ya Mwisho Katika Theme za Familia
>>"Familia, Kiini Cha Mabadiliko kwa Jamii"<<
2. Mgeni Muhadhiri Imam Qassim Ibn Ali Khan.  Anatoka USA na yupo kwenye ndoa zaidi ya iaka 40 na mkewewe naye ameongozana nae kama muhadhiri.
3. Wahadhiri Wasaidizi ni walimu wa adrassa kutoka Vijiji vya Masanganya-Kisarawe na Kinyamale - Rufiji waliofundisha madrassa zaidi ya miaka 30 kwenye azingira ya familia duni na madrassa hohe hahe.
4. Muda wa kuchangia washiriki ni mkubwa kuliko miaka yote.
5. Muongeaje ataongea Kiingereza moja kwa moja na wasikilizaji watakuwa huru kusikiliza kwa Kiingereza au Kiswahili moja kwa moja.
6. 1st SHORT PUBLIC PREVIEW ya Kilwa Documentary kuonyeshwa mapema.
7. Matukio mengine 5 Makubwa kuambatana ikiwemo wanawake pekee,  wanafunzi pekee na  viongozi wa dini pekee.
8. Imam Qassim Ibn Ali Khan kuweka jiwe la msingi wa madrassa za  mfano kwa kituo cha kwanza kati ya vituo 50 zinazojengwa na KALAMU EDUCATION FOUNDATION.
9. Kusali Sala ya Ijumaa Msikiti wa Muamar Ghadaff Dodoma, kukutana na Wabunge Waislam na Wakazi Maalum wa Mkoa wa Dodoma tarehe 03.06.2016.
10. Dr. Mohamed Gharib Bilal, Makamu wa Rais Mstaafu  kuwa Mgeni Rasmi.
ALLAH AKBAR

No comments: