
Mwinyibaraka
Foundation
inakumbusha na kuomba heshima ya kuhudhuria kwako kwenye
Kongomano kesho Ijumaapili 12/6/2016, saa 3 kamili asubuhi, Byt Yamin
Mada ya Kongomano hilo ni :
UJASIRIAMALI NA USTAARABU WA KIISLAMU ZANZIBAR
Ili shughuli ianze kwa
wakati uliyopangwa tunaombwa tujitahidi ifikapo saa 2:40 tuwe tumeshafika
Wabi LLah Tawfiq
KARIBUNI NYOTE
Wabi LLah Tawfiq
KARIBUNI NYOTE
RATIBA
YA KONGAMANO – RAMADHANI (JUMAPILI 12.06.2016)
MADA: UJASIRIAMALI NA USTAARABU WA KIISLAMU ZANZIBAR
3:00 Asubuhi
|
Katibu Mkuu:
Dr. Omar Saleh
|
Ukaribishaji.
|
3:10
|
Maalim: Saad Hassan
Shangama
|
Maelezo mafupi kuh:
Ujasiriamali na Uislamu Zanzibar.
|
3:30
|
Dr. Muhyiddin A. Kh. (Maalim Siasa)
|
Zanzibar kama kitovu
cha Uislamu Ulimwenguni.
|
3:55
|
Sheikh: Ahmed Khatib
|
Ustaarabu wa Kiislamu
Zanzibar.
|
4:20
|
Dr. Nabil (Bill) Kiwia
|
Umuhimu wa Muislamu
kuchagua biashara ya kufanya.
|
4:45
|
Sheikh: Mohammed Said
|
Maingiliano ya
Waislamu na wasiokuwa waislamu.
|
5:10
|
Dr. Mohammed Hafidh
|
Mambo muhimu ya
kuzingatia ktk ukusanyaji wa mtaji (capital) na utozaji wa faida.
|
5:35
|
Sheikh: Hamza Zubeir
|
Namna masheikh na
wanvyuoni walivyokuwa wakijikimu Zanzibar.
|
6:00 Mchana
|
Sheikh: Khalid M.
Mrisho
|
Adabu za mu’amala wa
kibiashara ktk mujtama’a wa kiislamu.
|
6:20
|
Sheikh: Abdulrahman Sh. Alhabshy
|
Hauli ya Mwinyi Baraka
|
6:35
|
Sheikh: Ali Hemed Jabir
|
Dua ya Ufungaji.
|
MAANDALIZI
No comments:
Post a Comment