Monday, 3 February 2014

Idd Faiz Mafongo: Ushapata Kumsikia Shujaa Huyu Aliyepigania Uhuru wa Tanganyika?

Idd Faizi Mafongo Aliyekusanya Fedha za Safari ya Nyerere UNO Mwaka 1955

Wa Kwanza Kushoto ni Idd Faiz Mafongo Mwekahazina wa Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika
na Mwekahazina wa TANU.
Wanaofuatia ni: Sheikh Mohamed Ramiya wa Bagamoyo, Julius Nyerere, Saadan Abdu Kandoro na Haruna Taratibu
Picha Hii Ilipigwa Dodoma Railway Station Mwaka 1956 Wakati wa Kueneza TANU Katika Majimbo

No comments: