Huyo ni Ahmed Saleh Yahya na yu hai.
Allah amjaalie umri tawil.
Kumsikia kuongea siasa kwake ni tabu lakini mimi akinipa
kazi nyingi za uandishi katika Africa Events kuandika siasa
za Tanzania.
Liangalie gazeti lilivyokuwa.
Hili liliandika habari kubwa sana katika siasa za CCM na
khasa Zanzibar bila kuweka ''byline.''
Sababu zinaeleweka.
Kama upo London unaweza kupata nakala maktaba ya SOAS.
Africa Events Vol. 3 No. 11 November 1987
![Click this image to show the full-size version. [IMG]](https://lh3.googleusercontent.com/-JqX8b2iBWqs/VxOp6RT7dnI/AAAAAAAAowM/g28zQ20rrOco9kIedqG1z7E_EP2xZoXpQCL0B/w506-h675/20160417_181118.jpg)
Mwandishi na Ahmed Rajab London 1991
No comments:
Post a Comment