| Kushoto Abdallah Ubaya na Khamis Bin Nassor kutoka Radio Kheri wakirusha kongamano mubashara kutoka Ukumbi wa Mikutano wa Mwalimu Nyerere |
| Dr. Gharib Bilal akifungua kongamano |
| Ahmed Saggaf |
Sheikh Qassim Bin Ali Khan na Dr. Gharib Bilali
| Dr. Qassim Bin Ali Khan |
| Add caption |
| Dr. Muhsin Salum Mkurugenzi Mkuu Amana Bank |
| Aliyevaa kanzu na kofia ni Sheikh Shemtoi kutoka Tanga |
| Sheikh Qassim Bin Ali Khan |
| Kushoto: Sheikh Ibrahim kutoka Zanzibar |
| Katikati ni Sheikh Othman Matata Mhadhir Maarufu |
| Kushoto: Imanm Suleiman, Prof. Lipumba na Sheikh Ponda |
| Katikati ni Sheikh Khalid Mtwangi Mwandishi Mashuhuru na kushoto ni Kassim Ibrahim Kiongozi wa Vijana |
| Sheikh Qassim, Dr. Bilal, Sheikh Kamilagwa na Dr. Muhsin |
| Mshiriki akichangia mada |
| Mke wa Sheikh Qassim akitoa nasaha zake |
Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Sotele inayoendeshwa na TAMPRO (Tanzania Muslim Professionals) waliofanya vizuri katika mitihani yao |
| Sheikh Hassan Mnjeja ''Educationists'' |
| Mshiriki akichangia mada |
| Sheikh Arafat Khan mmoja wa wafadhili wa kongamano ukoo wa Khan umejipemmbua katika utumishi wa Allah |
Amana Bank kwa kufadhili kongamano
| Ahmed Hashim akipokea cheti kutoka kwa Sheikh Qassim kwa niaba ya Radio Kheri kwa kurusha matangazo ya kongamano |
No comments:
Post a Comment