Abeid Amani Karume
| Mwandishi Akifanya Rejea Kutoka Kitabu Cha Dk, Harith Ghassany ''Kwaheri Ukoloni Kwaheri Uhuru'' Katika Kipindi Maalum cha Mapinduzi ya Zanzibar |
Insha Allah tutaweka audio file.
Waliozungumzwa:
- Dk. Harith Ghassany Mwandishi wa Kitabu '''Kwaheri Ukoloni Kwaheri Uhuru.''
- Abeid Amani Karume
- John Okello
- Victor Mkello
- Mashamba ya Mkonge ya Sakura na Kambi ya Kipumbwi
- Jumanne Abdallah
- Ali Mwinyi Tambwe
- Abdallah Kassim Hanga na Mwisho Wake
- Abdulrahman Babu
- Oscar Kambona
- Mohamed Omari Mkwawa
- Victor Mkello
- Mamluki Kutoka Mashamba ya Mkonge ya Sakura
- Kamati ya Watu 14
- Jaha Ubwa
- Abdulaziz Twala
- Uchaguzi wa Mwaka 1961 na 1963
| Add caption |
| Dk Harith Ghassany Kipumbwi |
![]() |
| Mohamed Omar Mkwawa aliyekuwa akiwavusha jeshi la mamluki kutoka Kipumbwi kwenda Zanzibar anavyoonekana hivi sasa. Picha hii imepigwa mwaka 2013 |
![]() |
| Kushoto kwenda kulia: Abdulrahman Babu, Ali Muhsin, Mohamed Shamte Nyuma kushoto kwenda kulia Maulid Mshangama na Salim Ahmed Salim |
| Mwandishi akiwa msaidizi wa Dk. Harith Ghassany akipiga picha pwani ya Kipumbwi Tanga wakati wa utafiti wa kitabu ''Kwaheri Ukoloni Kwaheri Uhuru.'' Picha imepigwa na Dk. Ghassany |
| Mzee Mkwawa Akiangalia Kitabu Kwaheri Ukoloni Kwaheri Uhuru Kilichoandikwa na Dk Harith Ghassany Utafiti wa Kitabu Hicho Ambacho Alichangia |
![]() |
| Jamshid bin Abdullah Sultani wa Mwisho Zanzibar |



1 comment:
Nikiwa kama mtangazaji wa kipindi hicho nakupongeza sana mzee wangu Mohamed Said kwa elimu mujarabu unayoitoa kwa watu wote duniani
Post a Comment