Showing posts with label makala. Show all posts
Showing posts with label makala. Show all posts

Tuesday, 29 May 2018

Ramadhani in Dar es Salaam, Throughout the Years By Mohamed Said Eid Fitr Mnazi Mmoja 2006 Observation of the holy month of Ramadhan in actual fact begins when the moon is sighted at the end of Shaaban. Soon after Magrib prayers all eyes will be in the sky searching for the moon, the ‘’hilal,’’ to reveal itself in the...

Wednesday, 23 May 2018

MCHANGO WA MAANDISHI WA NDG. KABWE ZUBERI RUYAGWA ZITTO, MB KWENYE MAKADIRIO YA WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA Mh. Zitto Kabwe ''Hatuwashi tena mwenge na kuuweka mlimani Kilimanjaro, hatumuliki tena nje ya mipaka yetu, hatuleti tena matumaini pale pasipo na matumaini, hatupeleki tena upendo kule kuliko na...

Friday, 18 May 2018

Balozi Mwapachu akikitambulisha kitabu chake ''Tanzania in the Age of Change and Transfomation'' Mgeni wa Heshima Prof. Mark Mwandosya Balozi Ali Mchumu Balozi Juma Mwapachu akitia sahihi yake katika kitabu cha msomaji Mzee Khamisi Salum I have been reading Balozi Juma Volta Mwapachu from our early life....

Friday, 11 May 2018

Dk. Mahathir ‘Role Model’ wa Zitto Kabwe, Mwenye Maajabu Na Yusufu Lulungu Zitto Kabwe na Mahathir Mohamed Kuala Lumpur Mara kadhaa Mbunge wa Kigoma mjini(ACT-Wazalendo), Zitto Kabwe amekuwa akiandika mambo kumuhusu Mzee huyu Dk. Mahathir Mohamad. Miongoni mwa maandiko yake kwa Mzee huyu ni lile la mwaka 2013 katika...

Thursday, 10 May 2018

USHAURI WA WAZI KWA WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, PROFESA PALAMAGAMBA KABUDI: “SULUHISHO LA MGONGANO KATIKA SHERIA YA NDOA YA MWAKA 1971 NI UREJESHWAJI WA MAHKAMA YA KADHI TANZANIA BARA” Sheikh Mohamed Iddi Mohamed (Abuu Iddi) Ndugu zangu Wanahabari, Assalaam Alaykum, (Amani ya Mwenye...