Showing posts with label Taazia. Show all posts
Showing posts with label Taazia. Show all posts

Wednesday, 6 June 2018

KirangaJF-Expert Member #5 Today at 10:21 AM Joined: Jan 29, 2009 Messages: 37,011   Likes Received: 8,481   Trophy Points: 280 New nyabhingi said: ↑ mzee mohamed,mujahidina wa jf ana ngozi ya kimatumbi huyu ana uarabu flani,nafikiri ni watu tofauti Kweli. Mohammed Said wa JF kaweka...

Saturday, 21 April 2018

Sheikh Yusuf Salum Maneno hayo hapo chini nimeyaandika majuma matatu yaliyopita katika moja ya group zetu tukijadili jinsi Waislam wanavyokosa nafasi katika utawala kiasi kutoa picha kama vile hakuna Waislam wenye sifa za kutosha kuweza kushika nafasi hizo: ‘’...hoja unazo lakini tujaaliwe hakuna (Waislam wenye elimu). Hapa tujiulize...

Saturday, 14 April 2018

Marehemu Suleiman Al Shukaili na Mohammed Ghassani Mauti ewe mauti, ukija kama hujaja Huwa waja katikati, ya maisha yetu waja Katikati ya wakati, na kati ya zetu haja Na hata tukikutaja, wewe khabari hupati Nimepokea habari ya Kaka yangu, Mzee wangu, Muhisani wangu, Sheikh Suleiman Al Shukaili, kuitikia wito wa Aitaye akalazimika...

Thursday, 12 April 2018

TAAZIA: SHEIKH SAUD BIN AHMED AL BUSAIDI HAKUKATA TAMAA NA REHMA ZA ALLAH Sheikh Saud bin Ahmed Al Busaid (Picha kutoka katika kitabu chake) Nimepata taaarifa ya msiba wa Sheikh Saud bin Ahmed Al Busaidi jana usiku kutoka Abu Dhabi kwa rafiki yangu Abdul Aleem Attas. Mara ya mwisho tulionana Dar es Salaam yapata zaidi ya miaka...

Tuesday, 10 April 2018

Makatta Mbukuzi Kushoto Makatta Mbukuzi akimhoji Mohamed Said Kutoka kushoto wa tano waliokaa ni Nesmo Eliufoo Waziri wa Elimu akifuatiwa na Tewa Said Tewa Rais wa East African Muslim Welfare Society (EAMWS) wakiwa na viomgozi wa jumuiya hiyo...

Thursday, 8 March 2018

TANGULIA LUKUGA DKT. AMANI WALID KABOUROU - KINARA WA MAGEUZI YA VYAMA VINGI NCHINI - MWAMI KABUYUKI MWAMBA WA KIGOMA Dkt. Aman Walid Kabourou ...

Wednesday, 7 March 2018

Dk Aman Walid Kabourou ''Kurejea kwa Dk Kabourou nchini na kujiunga na siasa  kuliweza kuwa chachu kwa vijana si tu wa Kigoma bali nchini kote.'' (Manju Msambya). Inna lillah wainna Illah rajiun.Poleni wana Ujiji poleni wana Kigoma poleni wana CCM na poleni Watanzania. Ilikuwa alfajiri ya leo saa 12.37 asubuhi...

Wednesday, 28 February 2018

Arthur Mambeta Sunderland 1966 - 1968 Kulia waliosimama Adam Athman, Arthur Mambeta, Emmanuel Mbele, Haji Lesso, Shida Stua, Hassan Mlapakolo, Yusuf Maleta, Mussa Libabu, Mbaraka Salum, Hamisi Fikirini Waliochuchumaa Kimimbi, Njunde, Ali Kajo, Said Walala, Hamisi Kibunzi Marehemu Athman Kilambo alikuwa mzungumzaji wangu sana...

Saturday, 17 February 2018

IDDI S. KIKONG’ONA NINAYEMFAHAMU NA SADIKI S. GOGO  Nilikutana nae kwa mara ya kwanza mwaka 1992 siku ambayo tarehe siikumbuki lakini ilikuwa ni katika kipindi cha dini. Nilikuwa mgeni shuleni hapo nikiripoti kwa mara ya kwanza nikiwa mwanafunzi wa kidato cha pili Morogoro Secondary School nikitokea shule ya Sekondari Ifakara maarufu kama Machipi. Wakati tukisubiri mwalimu wa dini aingie, aliingia kijana maji ya kunde...