
IKO WAPI
TANGA ILE?
Tanga ya
zamani zile, ya jagina Shaabani
Aliyesifika
kule, na kote Uswahilini
Mbona kama
izamile, haipo kwenye ramani
Iko wapi
Tanga ile?
Tanga yake
Jinamizi, Sheikih Ali Zakuwani
Ilo ikikaza
uzi, kwa mambo yenye thamani
Imegota zake
mbizi, nani wa kuiauni?
Iko wapi
Tanga ile?
Tanga ya
Mwalimu Pera,...