Showing posts with label historia. Show all posts
Showing posts with label historia. Show all posts

Tuesday, 5 June 2018

Shajara ya Mwana Mzizima: TAARABU NA UHURU WA TANGANYIKA Na Alhaji Abdallah Tambaza Abdallah Tambaza Mwalimu Subeti Salum Subeti (1903 - 1974) mmoja katika wapiga fidla (violin) maarufu wa Egyptian katika miaka ya 1940 KUPATIKANA kwa Uhuru wa Tanganyika mnamo mwaka 1961, kwa kiasi kikubwa kumechangiwa na uhodari,...

Monday, 28 May 2018

Shajara ya Mwana Mzizima: Historia ya Viwanja vya Mnazi Mmoja Dar-es Salaam Sehemu ya Pili Na Alhaji Abdallah Tambaza JUMA lililopita katika safu hii, tulielezea historia ndefu ya eneo la Mnazi Mmoja la hapa jijini Dar es Salaam na matukio au mambo makubwa ya kukumbukwa yaliyokuwa, ama yakifanyika hapo kila wakati; kwa vipindi...

Monday, 14 May 2018

Shajara ya Mwana Mzizima: WAJUE WANA SAIGON CLUB WA MZIZIMA Na Alhaji Abdallah Tambaza Saigon Khitma  Jumapili 13 May 2018 Raia Mwema 14 - 15 May 2018 JUMA hili, shajara imeonelea ichepuke kidogo kutoka kwenye siasa na kuangalia mambo ya kijamii kidogo ili wasomaji wasichoshwe na historia ya siasa peke yake;  ...

Wednesday, 9 May 2018

   UBAGUZI WA RANGI ULIVYOMKUMBA DR. AGGREY UKIWEMO WA NEW AFRICA HOTEL ENZI ZA UKOLONI Na Kamili Mussa Dr. James Emmanuel Kwegyir Aggrey ni jina ambalo takriban 98% ya Watanzania hawalijui wala hawajawahi kulisikia. Dr. Aggrey, mghana aliyetokea Achimota Ghana, ingawa kwa sasa ni marehemu, ni mwafrika ambaye bado...