
Shajara ya Mwana Mzizima:
TAARABU NA UHURU WA TANGANYIKA
Na Alhaji Abdallah Tambaza
Abdallah Tambaza
Mwalimu Subeti Salum Subeti
(1903 - 1974)
mmoja katika wapiga fidla (violin) maarufu wa
Egyptian katika miaka ya 1940
KUPATIKANA
kwa Uhuru wa Tanganyika mnamo mwaka 1961, kwa kiasi kikubwa kumechangiwa na
uhodari,...