Showing posts with label uchunguzi. Show all posts
Showing posts with label uchunguzi. Show all posts

Thursday, 23 February 2017

http://dailynews-tv.com/ky-confirmed-former-president-ali-hassan-mwinyi-is-dead/ *Hii Story ni Uzushi. Mzee yuko salama nyumbani kwake na jioni hii ataungana na Jumuiya ya Mabalozi pamoja na wadau wengine katika kusherehekea Siku ya Taifa ya Kuwait iliyoandaliwa na Balozi wa nchi hiyo hapa Dar es Salaam* Tunamuomba Mwenyezi Mungu...

Thursday, 26 January 2017

Utangulizi Kalamu ya Mh. Ally Saleh haiandiki bali inazungumza. Siku zote ninapomsoma Alberto siishi kushangazwa na uwezo wa fikra zake na jinsi anavyojua kuchagua maneno ya kutumia kumfanya msomaji asiwe anasoma bali awe anasikiliza. Ndugu msomaji msikilize Mh. Ally Saleh akieleza mauaji yaliyoitia nchi yetu katika orodha ya dunia ya...

Wednesday, 14 December 2016

Dondoo Fupi Kuhusu Mali za Waislamu Zilizodhulumiwa mwaka 1968 Ilipoundwa Bakwata 1.       Kulikuwa na jumuiya ya Waislamu wakati wa ukoloni wa Muingereza ikiitwa East African Muslim Welfare Society (EAMWS). Jumuiya hii  ilifanya kazi za kuwaletea maendeleo Waislamu wa Tanganyika na kusimamia mali zao...

Tuesday, 22 November 2016

NOV 22 KUTOKA JF: MJADALA WA SHEIKH KHALIFA HAMISI KUHUSU UGAWAJI WA MADARAKA KATI YA WAISLAM NA WAKRISTO TANZANIA  Gamba la Nyoka said: ↑ Niliyaona machafuko ya Mwembechai, nilimuona mwaka mmoja Raisi wa wakati huo BWM alivyowekwa kitimoto na waislamu katika baraza la Iddi pale Diamond Jubilee. Sitosahau hali...

Friday, 18 November 2016

britanicca said: ↑ Wakuu habari zenu, Naanza kwa kutoa shukran kwa mwenyezi Mungu ambaye ametufikisha siku ya leo, Baada ya kuwepo habari za chini chini juu ya VATICAN- YA WARUMI na UTAWALA WA TANZANIA, kwa miaka mingi iliyopita, nimekuwa nikifuatilia suala ilo, nimeshindwa kupata majibu mulua ya kunitoa katika giza ili, 1. Mwaka 2012, nilimtembelea mmoja wa viongozi Muhim katika taifa ili (jina nimehifadhi)...