...
Showing posts with label uchunguzi. Show all posts
Showing posts with label uchunguzi. Show all posts
Thursday, 22 February 2018
Thursday, 23 February 2017
ALLAH AMPE UMRI TAWIL MZEE WETU ALI HASSAN MWINYI

http://dailynews-tv.com/ky-confirmed-former-president-ali-hassan-mwinyi-is-dead/
*Hii Story ni Uzushi. Mzee yuko
salama nyumbani kwake na jioni hii ataungana na Jumuiya ya Mabalozi pamoja na
wadau wengine katika kusherehekea Siku ya Taifa ya Kuwait iliyoandaliwa na
Balozi wa nchi hiyo hapa Dar es Salaam*
Tunamuomba Mwenyezi Mungu...
Thursday, 26 January 2017
KUMBUKUMBU YA MAUAJI YA 26 - 27 ZANZIBAR JANUARI 2001 NA ALLY SALEH

Utangulizi
Kalamu ya Mh. Ally Saleh haiandiki bali inazungumza. Siku zote ninapomsoma Alberto siishi kushangazwa na uwezo wa fikra zake na jinsi anavyojua kuchagua maneno ya kutumia kumfanya msomaji asiwe anasoma bali awe anasikiliza. Ndugu msomaji msikilize Mh. Ally Saleh akieleza mauaji yaliyoitia nchi yetu katika orodha ya dunia ya...
Wednesday, 14 December 2016
TUME YA MUFTI WA BAKWATA NA MALI ZA WAISLAM ZILIZODHULUMIWA MWAKA WA 1968 ILIPOUNDWA BAKWATA NA TAMIM FARAJ

Dondoo Fupi Kuhusu Mali za Waislamu Zilizodhulumiwa mwaka 1968 Ilipoundwa
Bakwata
1.
Kulikuwa na jumuiya ya Waislamu
wakati wa ukoloni wa Muingereza ikiitwa East African Muslim Welfare Society (EAMWS).
Jumuiya hii ilifanya kazi za kuwaletea maendeleo Waislamu wa Tanganyika
na kusimamia mali zao...
Tuesday, 22 November 2016
KUTOKA JF: MJADALA WA SHEIKH KHALIFA HAMISI KUHUSU UGAWAJI WA MADARAKA KATI YA WAISLAM NA WAKRISTO TANZANIA

NOV
22
KUTOKA JF: MJADALA WA SHEIKH KHALIFA HAMISI KUHUSU UGAWAJI WA MADARAKA KATI YA WAISLAM NA WAKRISTO TANZANIA
Gamba la Nyoka said: ↑
Niliyaona machafuko ya Mwembechai, nilimuona mwaka mmoja Raisi wa wakati huo BWM alivyowekwa kitimoto na waislamu katika baraza la Iddi pale Diamond Jubilee.
Sitosahau hali...
Friday, 18 November 2016
KUTOKA JF:KUNA UHUSIANO WOWOTE KATI YA UONGOZI WA JUU TANZANIA NA VATICAN RUMI?
britanicca said: ↑
Wakuu habari zenu,
Naanza kwa kutoa shukran kwa mwenyezi Mungu ambaye ametufikisha siku ya leo,
Baada ya kuwepo habari za chini chini juu ya VATICAN- YA WARUMI na UTAWALA WA TANZANIA, kwa miaka mingi iliyopita, nimekuwa nikifuatilia suala ilo, nimeshindwa kupata majibu mulua ya kunitoa katika giza ili,
1. Mwaka 2012, nilimtembelea mmoja wa viongozi Muhim katika taifa ili (jina nimehifadhi)...