Thursday, 16 January 2014

Sheikh Ali ''Mudeer'' bin Abbas Mwanafunzi Mtoto wa Sheikh Hassan bin Amir Amefariki

Ali bin Abbas Mmmoja wa Waasisi wa NEMA akihakikiwa Katika Ukumbi wa Arnatouglo
Chama Hiki kilikataliwa Kusajiliwa kwa Kuhofiwa kuwa ni Chama Cha Waislam

Sheikh Ali bin Abbas


Ali bin Abbas alikuwa kitabu ch historia cha mji wa Dar es Salaam na khabari zake zote. Kuanzia historia ya masheikh, uhuru wa Tangayika, historia ya Sunderland na Yanga...vyote vilikuwa katika vidole vyake.

Fuatilia ukurasa huu...
Sheikh  Ali Abbas na James Brennan Mwanahistoria na Muhadhir kutoka Marekani
Alimtembelea nyumbani kwake Mwenge kwa ajili ya kufanya mazungumzo
Sheikh Ali bin Abbas na Mohamed Said
Khitma ya Sheikh Ali bin Abbas iliyosomwa na Wapenzi Wake Mtaa wa Swahili baaada ya Salat Isha Mbele ya Club ya Pan African tarehe 23 Mfungo Sita 1435 /25 Januari 2014



No comments: