Tuesday, 11 February 2014

Hii Ndiyo Haki Inayotambuliwa na Kanisa/Huu Ndiyo Mfumo Kristo Unaolalamikiwa na Waislam


Bunge la Katiba

Uwiano wa kijinsia wanaume 101 wanawake 100  

Wanawake NGO Wajumbe 13  
Wakristo 12 Muislam 1

Vyama Vya Siasa Wajumbe 28 
Wakristo 18 Waislam 10

Tasisi za Elimu Wajumbe 13
Wakristo 12 Waislam 1

Walemavu Wajumbe 13
Wakrsito 10 Waislam 3

Vyama Vya Wafanyakazi Wajumbe 15
Wakisto 9 Waislam 5

Wafugaji Wajumbe  17
Wakristo 16 Waislam 1

Wavuvi  Wajumbe 17
Wakristo 15 Waislam 2

Wakulima Wajumbe 13
Wakristo 8 Waislam 5

Malengo Yanayofanana Wajumbe 14
Wakristo 9 Waislam 5

Tasisi za Dini Wajumbe 13
Wakristo 8 Waislam 5

Hii ndiyo haki inayotambuliwa na Kanisa.
Huu ndiyo Mfumo Kristo unaolalamikiwa na Waislam

No comments: