Saturday, 1 March 2014

The Book: The Life and Times of Abdulwahid Sykes (1924 - 1968) The Untold Story of the Muslim Struggle Against British Colonialism in Tanganyika








The Author With Poster of  The Book at Islamic Propagation Centre
International (IPCI) Durban, South Africa 2006

MUSLIM NATIONALISTS IN TANGANYIKA:
The Life and Times of Abdulwahid Sykes (1924–1968): The Untold Story of the Muslim Struggle against British Colonialism in Tanganyika. By MOHAMED SAID. London: Minerva Press, 1998. Pp. 358. £11.99, paperback (ISBN 0-75410-223-8).
http://journals.cambridge.org/action...line&aid=72179


Msikilize Mwandishi: http://www.youtube.com/watch?v=k_1056Uk8Vo

Pieces from ''Acknowledgement''
The Sykes Letters

...this work would not have been possible if it were not for the moral and material assistance I received from Ally Sykes. Ally Sykes allowed me to interview him on many occasions in spite of his busy schedules managing his business from his city center office. He allowed me to consult his own private files, personal letters, diaries and other family records. These records were kept in a safe which I was informed remained untouched for over thirty years. Going through the files I was amazed by Ally Sykes’ obsession with record keeping. Every piece of paper with information was kept, however trifling it may have seemed during the struggle-a 1954 pencil note from Zuberi Mtemvu to Ally Sykes, informing him of a discussion he had with Nyerere about him and TANU; a 1953 money order receipt from Ally Sykes to Japhet Kirilo during the Meru Land Case; an undated copy of the letter from the TAA to Queen Elizabeth signed by the entire executive (the President, Julius Nyerere, Vice-President Abdulwahid Sykes, General Secretary Dome Okochi, Assistant Secretary Dossa Aziz, Treasurer John Rupia, Assistant Treasurer Ally Sykes) congratulating Her Majesty on her coronation; a 1952 letter from Rashid Mfaume Kawawa  from Bukoba to Ally Sykes informing him of the political situation in the Lake Region; a 1963 letter from Lady Judith Listowel; letters from Kenneth Kaunda, Julius Nyerere, Kasella Bantu, Thomas Marealle... the list is endless...

Dome Okochi Budohi

My family was acquainted with one Dome Budohi, a Kenyan nationalist who was in Dar es Salaam during the struggle. Budohi helped in the founding of TANU and his membership card was no.6 issued to him in July, 1954. He was arrested in 1955 by the colonial government on charges of being a member of Mau Mau, a peasant uprising in Kenya against the British. I have many recollections of visiting Budohi in his cell at the Central Police Station building which now houses the headquarters of the Tanzania Railway Corporation (TRC). 

For more information on Dome Budohi:
http://www.mohammedsaid.com/2013/12/walioacha-alama-katika-historia-ya-tanu.html

  1. MemberArrayYericko Nyerere's Avatar













    Join Date
    Jan 2014













    Posts
    83
    Rep Power
    1

    Kurejea kwa chama cha kidini cha AMNUT kwamlango wa nyuma wa ACT

    Mnamo mwaka 1958 kundi la waasi/wasaliti likiongozwa na Katibu mkuu wa TANU ndugu Mtemvu na Mwenyekiti wa Baraza la Wazee la TANU Shekhe Suleiman Bin Amir walifukuzwa baada tu ya uchaguzi wa chama hicho mjini Tabora ambapo wagombea wa nafasi ya rais wa chama alikuwepo Julius Nyerere na Abdul Skys, na mshindi alikuwa ni Julius Nyerere,

    Ikumbukwe uchaguzi huu ulikuwa ukiwakutanisha wagombea hao kwa mara ya pili kufuatia uchaguzi wa 1953 pale ukumbi wa Anatouglo Mnazimmoja chama kikiwa bado kinaitwa TAA.

    Naaam baada ya uchaguzi wa 1958, mitazamo ya kidini ilizidi kuchipuka hasa kwa kundi la waliofukuzwa kutaka chama kiwe na mlengo wa kidini,

    Walipofukuzwa walianzisha chama chao kiitwacho AMNUT, kikiendesha shughuli zake za kisiasa kwa mbeleko ya udini, lakini Watanganyika wote wa kipindi hicho walikikataa chama hicho na hivyo kikaishia mifukoni tu mwa akina Mtemvu, Shehe Amir na baadhi ya walioendelea kuwa ndani ya TANU.

    Sasa leo 2014, chama hicho kimeibu kwa jina la ACT, Njia za usakaji wafuasi zinalandana na AMNUT, Mitazamo na hulka za viongozi waanzishi wa chama hiki wanalandana kwa kila kitu na chama cha AMNUT,

    Juzi chama hicho kilifanya kazi ya uenezi mkoani mwanza na kigoma na watu wadini tofauti na mlengo wa AMNUT hawakuruhusiwa kujiunga hapohapo, waliambiwa kuna fomu maalumu kwaajili yao inayotakiwa kuiridhia kwa kiapo,

    Mimi kwakuangalia umoja na mashirikiano yetu, ninawaasa watanzania wawe waangalifu na chama hiki, na pia nimuase Msajili wa vyama vya siasa kutafakari upya kabla hajakipa usajili wa kudumu.

    Kwa wale ambao hamkuijua AMNUT, tembeleeni uzi huu hapa chini, tuliijadili kwa mapana yote,

    http://www.jamiiforums.com/jukwaa-la...-zanzibar.html
    "Kuna watu wasipokuelewa maneno na matendo yako, mshukuru Jah, wewe bado unafikra chanya, wakianza kukuelewa jichunguze ni wapi umeanguka maana umeanza kuwaza kama wao"
    Quick reply to this messageReply   Reply With QuoteReply With Quote   Multi-Quote This Message      
  2. #26
    Senior MemberArray













    Join Date
    Feb 2014













    Posts
    124
    Rep Power
    1

    Re: Kurejea kwa chama cha kidini cha AMNUT kwamlango wa nyuma wa ACT

    Quote Originally Posted by PM2013 View Post
    Samahani Mkuu. lkn naona Yericko anamwaga data na anajibu hoja zako kwa nakshi kabisa
    PM2013,
    Labda nikuulize ''data'' iweje ili iwe ''data?''
    Edit / DeleteEdit Post   Quick reply to this messageReply   Reply With QuoteReply With Quote   Multi-Quote This Message    
  3. #27
    PM2013 is offline
    MemberArray













    Join Date
    Dec 2013













    Posts
    69
    Rep Power
    1

    Re: Kurejea kwa chama cha kidini cha AMNUT kwamlango wa nyuma wa ACT

    swali kwa mohamed Said.
    Upi ulikuwa mchango wa bibi Titi katika kupigania uhuru? na nini kilichomsibu hadi kukwaruzana na mwalimu?
    Quote Originally Posted by PM2013 View Post
    Shukran kwa kutueleimisha wanajamvi wengi. kwani baadhi yetu tulikuwa hatuijui historia hii


    - - - Updated - - -

    Shukran kwa kutueleimisha wanajamvi wengi. kwani baadhi yetu tulikuwa hatuijui historia hii
    Quick reply to this messageReply   Reply With QuoteReply With Quote   Multi-Quote This Message      
  4. #28
    Junior MemberArray













    Join Date
    Feb 2014













    Posts
    5
    Rep Power
    0

    Re: Kurejea kwa chama cha kidini cha AMNUT kwamlango wa nyuma wa ACT

    Quote Originally Posted by Mohamed Said View Post
    Wanaukumbi,
    Kuna makosa mengi.

    Kwanza
    Dk. Kyaruzi hakuwa daktari wa kwanza Tanganyika.

    Daktari wa kwanza alikuwa Joseph Mutahangarwa na hili nimelieleza katika
    kitabu cha Abdu Sykes, ''The Life and Times of Abdulwahid Sykes...''

    Na hili nilielezwa na Dossa Aziz.

    Pili Dk. Kyaruzi hakuhamishiwa Kahama bali Kingolwira kisha Nzega na
    sababu za uhamisho huu nimezieleza katika kitabu cha Abdu Sykes.

    Tatu Nyerere hakumshinda Abdu kwa kishindo.
    Nyerere alimshinda Abdu kwa kura chache.

    Ushahidi wa uchaguzi huu uko katika kitabu cha Lady Judith Listowel,
    The Making of Tanganyika Chato and Windus, 1965.

    Nne Nyerere hakupelekwa UNO 1955 na Wakatoliki.

    Kisa cha safari ya Nyerere ni maarufu na nimeileza safari ile kwa kirefu
    katika kitabu cha Abdu Sykes.

    Mkutano wa Tabora wa 1958 hapakuwa na uchaguzi wa Abdu Sykes na Nyerere na
    mwaka huo aliyefukuzwa TANU ni Sheikh Suleiman ''Makarios'' Takadiri peke
    yake wengine walijitoa wenyewe kama Hamisi Hunde, Ramadhani Mashado Plantan,
    Abdulwahid Abdulkarim, Abdallah Mohamed na wengine.

    Katika TANU hapakuwa na Shehe Selemani Amiri.

    Kulikuwa na Mufti Sheikh Hassan bin Amir na huyu ndie ilikuwa nguzo ya Nyerere
    na TANU yenyewe.

    Kisa Cha Sheikh Hassan bin Amir na Nyerere nimekieleza kwa kirefu sana
    katika kitabu cha Abdu Sykes.

    Haya mimi nayajua kwa undani kwani wengi katika hao ni wazee wangu na
    nikiwajua katika udogo na tukakutana mie nikiwa na fahamu zangu.

    Naamini nimeweka yote sawasawa.

    Atakae kusoma zaidi kuhusu historia hizi na aingie katika website yangu:

    www.mohammedsaid.com.
    Maalim Mohamed Said nakupa hongera sana kwa hakika simulizi zako za kweli za historia ya nchi yetu zimewakimbiza wateteo historia uwongo. Yuko wapi sasa mzee Yusuph Halimoja aliyekuwa mstari wa mbele kujibu kila post na chapisho ulilokuwa ukiandika, sasa hivi yuko kimya, Maprofesa wengi wamejaribu kupima kina cha maji yako kwa majina bandia na wamegundua kuwa kina chako ni kirefu na chenye maji yaendayo kasi kiasi kwamba kuogelea wameshindwa.

    Sasa amebaki Yericko mwanapropaganda wa chadema.Sisi vijana tunakufuatilia kwa ukaribu sana kwa ajili kujifunza na kustafidi na elimu maridhawa uitoayo kupitia chapisho zako pamoja na post mbalimbali kwenye mitandao ya kijamii.Tuko pamoja toka mwanzo tumejifunza mengi Kutoka kwako.Mwenyezi mungu akuzidishie kwa kutoa elimu kwa mamilioni ya watanzania na ulimwengu kwa ujumla.

    Sasa tunataka tukuingize bungeni Maalimu wetu ukawape darasa kidogo, maana toka alipotoka Kighoma Malima na Kitwana Kondo waislam wamekuwa kama wamekosa msemaji huko. Naamini siku ukiingia huko kwajinsi unavyotoa fact kila utakapoongea itabidi wakate umeme nchi nzima ili fact isisambae nchi nzima.

No comments: