Marehemu Sheikh Nurdin Hussein |
Abdallah Jabir Muasisi wa Tanzania Haj Trust Akizungumza na Dr. Ziddy (hayuko kwenye picha) kuhusu historia ya safari za Hijja Tanzania. Picha ya Chini inamuonyesha Kushoto Kewnda Kulia: Nassor Masoud, Dr. Ziddy, Mohamed Said, Maalim Miraj, na Abdallah Mohamed Wakiwa Tanga Wakifanya Mahojiano na Maalim Miraji wa Shamsiyya Kuhusu Historia ya Hijja. Utafiti Huu Umedhaminiwa na Serikali ya Saudi Arabia (King Abdulaziz Foundation) na nia ni Kuandika Encyclopedia ya Hijja Duniani.
Shariff Mohamed Yahya akiwa katika Msikiti wa Barabara ya 10 Tanga akimweleza Dr. Ziddy
historia ya babu yake mkuu (babu wa baba yake) Sheikh Mwinyimatano
Hanzuani El Kindy aliyekwenda kuhiji Makka mwaka 1916 akitokea Tanga.
Wakati ule Saudi Arabia iilikuwa chini ya Ottoman Empire.
Kushoto Sheikh Mohamed Bin Sheikh Suleiman Mbwana wa Zahrau, Tanga akiwa na Dr. Ziddy na Wasaidizi Watafiti
Abdallah Mohamed (Kushoto) na Nassor Masoud (Kulia) Picha ya Chini Dr. Ziddy Akiwa Katika Msikti Mkongwe wa Kilwa Wakati wa Utafiti wa Historia ya Hijja Tanzania. |
Baadhi ya Mahujaji Watarajiwa Wakiswali Sala ya Maghrib Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Nyerere tarehe 17 September 2014 Kabla ya Safari ya Kwenda Makka. Picha ya Chini wanawake mahujaji watarajiwa wakipumzika kusubiri kupanda ndege. Picha Hii Imepigwa Moshi Katika Siku ya Eid Baada ya Sala ya Eid Iliyosaliwa Katika Uwanja wa Wazi Rais Jakaya Mrisho Kikwete Akisalimiana na Waumini Baada ya Sala ya Eid El Haj Msikiti wa Maamur 2013 HAFLA YA KUUAGANA NA MAHUJUAJI ILIYOTAYARISHWA NA TANZANIA MUSLIM HAJ TRUST 22 SEPTEMBER 2014/27 MFUNGO PILI 1435 Mwandishi Akimkabidhi Kitabu cha Maisha ya Abdulwahid Sykes Mgeni Rasmi Katika Hafla ya Kuagana na Mahujaji Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Sheikh Ali Hassan Mwinyi Kushoto Kwenda Kulia: Shaukat Jaffer , Sheikh Saleh Issa Miskry, Sheikh Ali Hassan Mwinyi, Sheikh Mohamed Ismail, Sheikh Mahmoud Bin Sheikh Nurdin Hussein Mahujaji Wasafiri Kuelekea Makka 23 September 2014/28 Mfungo Pili 1435 |
No comments:
Post a Comment