Baada ya huo uzi kufungwa watu wakaendelea kuusoma hivyo hiyo umefungwa.
Kwa faida ya JF...
Huo uzi mpaka leo hii umesomwa na watu 490, 472 na unaendelea kusomwa daah!!.
Kuna huu uzi mwingine unamuhusu Mudeer Mohamed Said, huu ulianzishwa na Mag3 huu umeishasomwa na watu 112, 133 huu bado upo hewani unaweza kuupitia hapa chini kiduchu...
Historia ya Uhuru isimuliwavyo na Mohammed Said yakosolewa
No comments:
Post a Comment