Saturday, 25 June 2016

HISTORIA YA TANU NA UHURU WA TANGANYIKA KATIKA JAMIIFORUMS

Mwalimu Nyerere akifungua mkutano wa kwanza wa TANU 24 Oktoba 1955 Ukumbi wa Hindu Mandal Dar es Salaam


RitzJF-Expert Member

#577
Today at 8:08 AM
Joined: Jan 1, 2011
Messages: 41,046
 
Likes Received: 2,529
 
Trophy Points: 280






Akhui Mtebetini,

Ukipata wasaa pitia hapa chini kwenye huu uzi vyombo vimo humo huyu mleta mada alikimbia mwenyewe pamoja na wenzake uzi ulikua hatari.

Uchochezi wa Mohamedi Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

RitzJF-Expert Member

#585
Today at 4:32 PM
Joined: Jan 1, 2011
Messages: 41,046
 
Likes Received: 2,529
 
Trophy Points: 280






Mudeer Mohamed Said,

Uzi ulichukuwa miezi 6 Moderator wa JF wakaufunga.

Kabla ya kufungwa ulikuwa umesomwa na watu laki 1 na nusu.

Uzi umebaki kama kumbukumbu.





Mudeer Mohamed Said,

Baada ya huo uzi kufungwa watu wakaendelea kuusoma hivyo hiyo umefungwa.

Kwa faida ya JF...

Huo uzi mpaka leo hii umesomwa na watu 490, 472 na unaendelea kusomwa daah!!.

Kuna huu uzi mwingine unamuhusu Mudeer Mohamed Said, huu ulianzishwa na Mag3 huu umeishasomwa na watu 112, 133 huu bado upo hewani unaweza kuupitia hapa chini kiduchu...

Historia ya Uhuru isimuliwavyo na Mohammed Said yakosolewa

No comments: