Wednesday 22 November 2017

MAYOR MSTAAFU WA DAR ES SALAAM KLEIST ABDULWAHID SYKES AMEFARIKI DUNIA LEO 22 NOVEMBER 2017

Kleist Abdulwahid Sykes
(1950 - 2017)


Ratiba ya Mazishi

Alhamis 23/11/2017

Msiba nyumbani Kawe Beach karibu na Mediterraneo Hotel

Saa 5 asubuhi mwili kuwasili nyumbani

Saa 7 mchana adhuhur  kusaliwa jeneza (maiti) hapo nyumbani

Saa 8:30  Jeneza kuelekea Masjid Maamur Upanga

Baada ya sala ya alasiri na kusalia jeneza itaelekea Makaburi ya Kisutu

No comments: