Ndugu zanguni mimi nimeangalia TBC taarifa ya habari ya jana
usiku tarehe 23 Novemba siku aliyozikwa Kleist Sykes.
Rambirambi zilikuwa na makosa.
Mtangazaji anampa Kleist sifa za kuasisi African Association 1929
sifa ambayo ni ya babu yake jina lake Kleist Sykes Mbuwane.
Kisha mtangazaji anampa Kleist sifa ya kuasisi TANU 1954 na
kupigania uhuru wa Tanganyika ambayo ni sifa ya baba yake
Abdulwahid Kleist Sykes.
usiku tarehe 23 Novemba siku aliyozikwa Kleist Sykes.
Rambirambi zilikuwa na makosa.
Mtangazaji anampa Kleist sifa za kuasisi African Association 1929
sifa ambayo ni ya babu yake jina lake Kleist Sykes Mbuwane.
Kisha mtangazaji anampa Kleist sifa ya kuasisi TANU 1954 na
kupigania uhuru wa Tanganyika ambayo ni sifa ya baba yake
Abdulwahid Kleist Sykes.
![]() |
Mtangazaji wa TBC Eva Sesoa kulia akiwa na wenzake nyumbani kwa Kleist Sykes |
![]() |
Habari Leo Ijumaa, Novemba 24, 2017 |
![]() |
Uhuru, Ijumaa Novemba 24, 2017 |
No comments:
Post a Comment