Showing posts with label gallery. Show all posts
Showing posts with label gallery. Show all posts
Thursday 14 January 2016
Tuesday 12 January 2016
Saturday 24 October 2015
Friday 16 October 2015
KUMBUKUMBU YA BABA WA TAIFA SIBUKA TV NYERERE DAY
Ukipenda kusoma zaidi kuhusu Kura Tatu ingia hapa:
Thursday 8 October 2015
Saturday 25 April 2015
Tuesday 27 January 2015
Monday 26 January 2015
Tuesday 13 January 2015
MAISHA YA SIASA YA SHEIKH ALI MUHSIN BARWANI (1919 - 2006) - KUMBUKUMBU YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR
Kipindi Maalum Radio Kheri '' Sheikh Ali Muhsin Barwani (1919 - 2006)
Msomi, Mwanasiasa, Mshairi, Mhariri wa Gazeti, Mwandishi wa Vitabu, Mwalimu na Mfasiri wa Qur’an Tukufu
Kumbukumbu yaMiaka 51 ya Mapinduzi ya Zanzibar''
Chini Kwenye Ngazi ya Ndege Ali Muhsin Barwani, Mohamed Shamte, Hasnu Makame na Abeid Amani Karume |
Sheikh Ali Muhsin
Barwani wakati wa kupigania uhuru wa Zanzibar alikuwa kiongozi wa Zanzibar
Nationalist Party (ZNP) vilevile chama hiki kikijulikana kama Hizbu. Kwa
mapenzi makubwa wanachama wa Zanzibar walikuwa wanamwita, “Zaim” yaani
Kiongozi. Ilikuwa nia ya Sheikh Ali Muhsin Zanzibar ipiganie uhuru wake chini ya
chama kimoja cha kizalendo chenye nguvu chama cha kitaifa badala ya vyama vilivyojijenga
katika misingi ya rangi. Ilikuwa pigo kubwa sana kwake Abeid Amani Karume alipoasisi
Afro Shirazi Party, chama kilichosimama kwa maslahi ya Waafrika na Washirazi. Sheikh
Ali Muhsin alipigania uhuru wa Zanzibar mpaka ukapatikana tarehe 10 December
1963. Sheikh Ali Muhsin alishiriki katika mkutano wa katiba Lancaster House.
Baada ya mapinduzi yaliyotokea Zanzibar tarehe 12 Januari 1964 Sheikh Ali
Muhsin alikamatwa na kusafirishwa Tanganyika ambako alifungwa Ukonga na jela
nyingine kwa kipindi cha miaka 10 na miezi michache. Katika kipindi alichokuwa
kifungoni Sheikh Ali Muhsin aliandika miswada kadhaa ambayo alikuja kuichapa
kama vitabu baada ya kutoka kifungoni. Kabla hajafa mwaka 2006 Sheikh Ali Muhsin aliandika kitabu cha
maisha yake, ‘’Conflict and Harmony in Zanzibar,’’ ambacho kilikuja kufasiriwa kama ‘’Kujenga na Kubomolewa Zanzibar.‘’
Katika kitabu hiki cha maisha yake Sheikh Ali Muhsin anaeleza yaliyopitika
Zanzibar kabla na baada ya mapinduzi. Baada ya kushindwa kupata pasi ya
kusafiria, Sheikh Ali Muhsin alitoroka nchini mwaka 1974. Hadi anafariki siku zote Sheikh Ali Muhsin alikuwa akisema yale hayakuwa mapinduzi bali mavamizi.
Mwandishi Akisoma Kutoka Kumbukumbu za Sheikh Ali Muhsin Barwani |
Studio za Radio Kheri Kipindi Maalum Cha Mapinduzi ya Zanzibar |
Studio za Azam TV Kipindi Maalum Cha Mapinduzi ya Zanzibar |
Sunday 4 January 2015
Friday 4 July 2014
Monday 19 May 2014
Wazalendo Waliopigania Uhuru wa Tanganyika
Julius Nyerere, Sheikh Suleiman Takadir na Bi. Titi Mohamed |
Tuesday 13 May 2014
KUMBUKUMBU YA SHEIKH ILUNGA: SIKILIZA KIPINDI MAALUM REDIONI NA TAAZIA YAKE MTAMBANI
Mohamed Said |
Sikiliza Kipindi Maalum cha Sheikh Ilunga Hassan Kapungu Radio Kheri (Dar) na Radio Quiblaten (Iringa) na Kumbukumbu aliyofanyiwa Msikiti wa Mtambani
Mzungumzaji Katika Kipindi cha Redio ni Mohamed Said akihojiwa na Butije Khamis
Ingia:
www.mohammedsaid.com
Ingia:
www.mohammedsaid.com
Butije Khamis |
Friday 9 May 2014
RADIO KHERI DAR ES SALAAM NA RADIO QUIBLATEIN IRINGA: KUMBUKUMBU YA SHEIKH ILUNGA HASSAN KAPUNGU
Sheikh Ilunga Hassan Kapungu |
Video Kumbukumbu ya Sheikh Ilunga Hassan Kapungu Msikiti wa Mtambani Ijumaa 9 May 2014 |
Walio nje ya Dar es Salaam wanaweza kupata radio zote mbili katika radiostationstz.com.
Ndani ya Studio za Radio Kheri 104.10 FM Faraja Kwa Umma Kumbukumbu ya Sheikh Ilunga Hassan Kapungu |
Mtangazaji Butije Khamis Akishirikiana na Radio Qublaten Iringa Akiendesha Kipindi Maalum: Kumbukumbu ya Sheikh Ilunga Hassan Kapungu |
Butije Khamis Akiendesha Kipindi Maalum Kuhusu Kumbukumbu ya Sheikh Ilunga Hassan Kapungu
Tutaweka Audio ya Kipindi In Sha Allah...
Sikiliza hapo chini bofya: |
Thursday 8 May 2014
Sheikh Aly Basaleh : Muungano wa Tanganyika na Zanzibari
Kipindi cha Jukwaa kwa Asiye na Jukwaa, Kilichofanyika Radio Kheri Dar es Salaam 27 April 2014