| Jengo la Arab Association Hapa ndipo Ahmed Rashad Ali alipokutana na Abdulwahid Sykes 1939 wakiwa vijana wadogo msimu wa ''Sports'' (Bank Holiday) Urafiki wao ulidumu hadi umauti na katika urafiki huu Ahmed Rashad alikuja kujua mengi katika kuasisi TANU kutoka kinywa cha rafiki yake. Ahmed Rashad alikuwa na Abdu Sykes Kalieni Camp India 1945 baada ya Vita vya Pili Vya Dunia na walikuwa pamoja Cairo, Misri 1964 |
Wednesday, 1 January 2014
Maisha ya Ally Sykes Mohamed Said akizungumza na Radio Noor FM 93.3 Masjid Sahaba Mtoni Zanzibar
About Mohamed Said Historia, Siasa na Maendeleo Tanzania
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment