Wednesday, 1 January 2014

MAISHA YA ALLY SYKES




Merry Black Birds Katika Miaka ya 1950 Ally Sykes ni Huyo Mwenye Suti Nyeusi Katikati na Kulia Kwake ni Ahmed Rashad Ali wa Pili Waliosimama (Picha Hii Ilipigwa Zanzibar Victoria Garden Katika MIaka ya 1950)
Nyuma Kushoto ni Abbas Sykes

1 comment:

Unknown said...

Hakika inaonyesha wazi kwamba ukoo wa Sykes umechkua jukumu kubwa kupigania na kupata uhuru wa Tanganyika. Kwa bahati mbaya walimuunga mkono Nyerere na wakampa umbele na mwisho ikawa majuto mjukuu. Kubwwa alilosema Sh. Mohammed Said ni kuwa Waislamu wa Tanzania hatujapata uhuru wetu mpaka leo. Na huo uhuru lazima ufungane nakusoma historia yetu ili tuwe na fakhari na tuweze kuulinda huo uhuru tutakapo upata.