![]() |
Mwandishi Akifanya Mahojiano na Said Rashid Katibu wa Kwanza wa Baraza la Mapinduzi Nyumbani Kwake Vuga Kuhusu Historia ya Mapinduzi ya Zanzibar |
Waliokaa Kushoto Kwenda Kulia ni Abdullah Kassim Hanga na Abeid Amani Karume |
![]() |
John Okello |
![]() |
Mwandishi Akifanya Mahojiano na Baraka Shamte Kada Maarufu wa CCM Nyumbani Kwake Mkunazini Zanzibar Kuhusu Historia ya Mapinduzi. Baraka Shamte ni Mtoto wa Mohamed Shamte Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Kwanza wa Zanzibar Aliyepinduliwa Katika Mapinduzi ya 1964 |
![]() |
Mzee Hassan Nassoro Moyo Mjumbe wa Kamati ya Maridhiano Akisoma Kitabu ''Kwaheri Ukoloni Kwaheri Uhuru'' Nyumbani Kwake Fuoni Zanzibar |
![]() |
Mzee Mkwawa Alivyo Hivi Sasa Picha Imepigwa 2013 Nyumbani Kwake Tanga Akihojiwa na Mwandishi wa Kimarekani (Hayuko Kwenye Picha) Kuhusu Mapinduzi ya Zanzibar na Nafasi ya Mamluki Kutoka Tanganyika |
Mwandishi Akiwasomea Wasikilizaji wa Radio Kheri Baadhi ya Sehemu Katika Kitabu ''Kwaheri Ukoloni Kwaheri Uhuru'' Kitabu Kilichoandikwa na Dk. Harith Ghassany
Waliozungumzwa na Yaliyozungumzwa Katika Historia ya Mapinduzi Kwenye Kipindi cha Radio Kheri:
![]() |
https://www.dropbox.com/s/
Dr. Harith Ghassany Akiwa Algiers na Ahmed Ben Bella |
Dr. Harith Ghassany akiwa Cairo na Mohamed Faik Aliyekuwa Mshauri wa Gamal Abdel Nasser Kuhusu Mambo ya Afrika |
No comments:
Post a Comment