Sunday 11 May 2014

AMIR WA JUKWAA LA VIJANA WA KIISLAMU TAIFA AHMAD AYOUB KUZUNGUMZA NA VIJANA MTAMBANI TAREHE 13 MAY 2014


TANGAZO MUHIMU LA MKUTANO
MTAMBANI DAR ES SALAAM




Amir wa Jukwaa la Vijana wa Kiislam Taifa Ahmad Ayoub atazungumza na vijana Msikiti wa Mtambani, Dar es Salaam Jumanne tarehe 13 May 2014 kuanzia saa tisa L'Asr.

Mengi ya muhimu kwa Umma yatazungumzwa. 
Asomae taarifa hii amfikishie nduguye.



Tangazo Limetolewa 
na 
Amir wa Vijana Mkoa wa Dar es Salaam  
Ahmed Almasi

No comments: