Wednesday, 25 June 2014

KUTOKA JF: KEJELI NA DHARAU KATIKA HISTORIA WASIYOIJUA

  1. #42   Report Post    
    Mohamed Said's Avatar
    JF Senior Expert MemberArray
    Join Date : 2nd November 2008
    Posts : 5,746
    Rep Power : 66206




    Likes Received
    4490




    Likes Given
    244

    Default Re: Ujanja wa kibiashara wa ally sykes ulivyosaidia tanu wakati wa kudai uhuru

    Quote By SoNotorious View Post
    Tatizo huwa kanapiga story kakiwa kamelewa Koran vinginevyo kanajua

    kuumba characters

    wake kwenye story zake.
    SoNotorious,
    Umenita ''ka.''

    Nakuwekea hii picha ya ujana wangu uniangalie kama ''ka'' inanienea.



    Mimi ni huyo mkono wa kulia.

    Nilipokuwa mtoto ''ambition'' yangu ilikuwa nicheze mpira Sunderland (sasa
    Simba) kisha nicheze team ya taifa.

    Haikuwa.

    Niliishia mchangani.

    Kidongo Chekundu, Mnazi Mmoja, Jangwani, Uwanja wa Polisi Oyster Bay
    na kwengineko.

    Wenzangu wengi walikwenda mbele wengine Cosmo, Yanga na Sunderland
    hadi timu ya taifa mie nikabaki kuwa ''bookworm,'' na wakinitania kwa hilo la
    kupenda ''kusomasoma.''

    Wamanyema Allah katupendelea katupa miili mikubwa kiasi Mmanyema tusi lake
    kubwa ukimuudhi na wewe si Mmanyema atakuita, ''Kinyangarakata,'' yaani
    ''Kijitu.''

    Mimi si ''ki'' wala si ''ka.''
    Kuwa na adab kidogo tu.

    Naamini umejielewa.
    Una ubavu wa kuweka picha yako?

    Hii picha hapo chini nilipokuwa na mwaka mmoja.



    Picha hii ilipigwa studio ya Mzee Shebe Mtaa wa Livingstone na Kipata, 1952/53.

    Huyu Mzee Shebe akajakuwa mpiga picha wa TANU na Nyerere katika miaka hiyo
    ya kupigania uhuru.

    SoNotorious,
    Hapo chini ndivyo nilivyo hivi sasa.

    Picha hii nimepiga New York, Harlem 125th Street.
    Hii ndiyo ilikuwa mitaa ya Malcolm X wakati wa enzi zake katika 1960s.



    JF ni mahali pa kubadilishana fikra si mahali pa matusi na ushenzi.
    Hapa ni mahali watu mnashindana kwa hoja katika njia za kiustaarabu.

    Hapa si mahali pa kuonyeshana nani hodari wa kejeli na mengine yasiyo
    na maana.

    Naamini wewe na wengine mfano wa wewe mtabadilka na tutakuwa
    katika mijadala kwa ustaarabu, adabu na heshima.
    Last edited by Mohamed Said; Yesterday at 17:12.
    Babu Kivu likes this.
  2. #43   Report Post    
    Mamndenyi's Avatar
    JF Gold MemberArray
    Join Date : 11th April 2011
    Location : Mafinga
    Posts : 21,850
    Rep Power : 429501267




    Likes Received
    11980




    Likes Given
    28044

    Default Re: Ujanja wa kibiashara wa ally sykes ulivyosaidia tanu wakati wa kudai uhuru

    Hivi wale waalimu wa english kozi mko wapi jamani?
    SIYO WOTE WANAOTANGATANGA WAMEPOTEA


  3. #44   Report Post    
    SoNotorious's Avatar
    JF Senior Expert MemberArray
    Join Date : 11th September 2011
    Posts : 1,345
    Rep Power : 683




    Likes Received
    361




    Likes Given
    508

    Default Re: Ujanja wa kibiashara wa ally sykes ulivyosaidia tanu wakati wa kudai uhuru

    Quote By Mohamed Said View Post
    SoNotorious,
    Umenita ''ka.''

    Nakuwekea hii picha ya ujana wangu uniangalie kama ''ka'' inanienea.



    Mimi ni huyo mkono wa kulia.

    Nilipokuwa mtoto ''ambition'' yangu ilikuwa nicheze mpira Sunderland (sasa
    Simba) kisha nicheze team ya taifa.

    Haikuwa.

    Niliishia mchangani.

    Kidongo Chekundu, Mnazi Mmoja, Jangwani, Uwanja wa Polisi Oyster Bay
    na kwengineko.

    Wenzangu wengi walikwenda mbele wengine Cosmo, Yanga na Sunderland
    hadi timu ya taifa mie nikabaki kuwa ''bookworm,'' na wakinitania kwa hilo la
    kupenda ''kusomasoma.''

    Wamanyema Allah katupendelea katupa miili mikubwa kiasi Mmanyema tusi lake
    kubwa ukimuudhi na wewe si Mmanyema atakuita, ''Kinyangarakata,'' yaani
    ''Kijitu.''

    Mimi si ''ki'' wala si ''ka.''
    Kuwa na adab kidogo tu.

    Naamini umejielewa.
    Una ubavu wa kuweka picha yako?

    Hii picha hapo chini nilipokuwa na mwaka mmoja.



    Picha hii ilipigwa studio ya Mzee Shebe Mtaa wa Livingstone na Kipata, 1952/53.

    Huyu Mzee Shebe akajakuwa mpiga picha wa TANU na Nyerere katika miaka hiyo
    ya kupigania uhuru.

    SoNotorious,
    Hapo chini ndivyo nilivyo hivi sasa.

    Picha hii nimepiga New York, Harlem 125th Street.
    Hii ndiyo ilikuwa mitaa ya Malcolm X wakati wa enzi zake katika 1960s.



    JF ni mahali pa kubadilishana fikra si mahali pa matusi na ushenzi.
    Hapa ni mahali watu mnashindana kwa hoja katika njia za kiustaarabu.

    Hapa si mahali pa kuonyeshana nani hodari wa kejeli na mengine yasiyo
    na maana.

    Naamini wewe na wengine mfano wa wewe mtabadilka na tutakuwa
    katika mijadala kwa ustaarabu, adabu na heshima.
    Mzee Mohamed Said hiyo ka sikuwa na maana mbaya maana yangu ni kuwa maandiko

    yako yanatakuwa kuwa neglected kwa umri wako huwezi kufikiri sawa sawa, unaongozwa

    na hisia na mihemko zaidi.
    I am a complete IDIOT GUIDE, visited this world to please nobody but to make complete I.D.I.O.T.S think BIG and get BUSY.

    1. #45   Report Post    
      Mohamed Said's Avatar
      JF Senior Expert MemberArray
      Join Date : 2nd November 2008
      Posts : 5,747
      Rep Power : 66206


      Likes Received
      4490


      Likes Given
      244

      Default Re: Ujanja wa kibiashara wa ally sykes ulivyosaidia tanu wakati wa kudai uhuru

      Quote By SoNotorious View Post
      Mzee Mohamed Said hiyo ka sikuwa na maana mbaya maana yangu ni kuwa maandiko

      yako yanatakuwa kuwa neglected kwa umri wako huwezi kufikiri sawa sawa, unaongozwa

      na hisia na mihemko zaidi.
      SoNotorious,
      Sitorudia kukuambia kuwa umenitukana.

      Ikiwa maandiko yangu yanatakiwa ''kupuuzwa'' wewe hukufanya hivyo.

      Ikiwa mimi ''siwezi kufikiri sawasawa,'' ungelisema hivyo na hilo si tusi
      ningekujibu kwa ushahidi kuwa mimi akili zangu ni timamu sana Alhamdulilah
      na ningekupa ushahidi wa hilo.

      Ingekuwa mimi naongozwa na ''hisia na mihemko,'' ningekukatalia na ningekupa
      pia ushahidi kuwa hapa JF sijatukana mtu zaidi kila nikiingia katika mjadala
      maelfu ya watu wanakuja kunisoma.

      Chunguza.

      Kubwa zaidi ni kuwa maadam wewe unanitambua kuwa mimi ni mzee basi
      ulitakiwa uzungumze na mimi kama unazungumza na mtu aliyekupita makamu.

      Kijana yeyote aliyefunzwa adabu hilo analijua.

      Mwisho.
      Nadhani utakuwa umeona sikugusa maneno yako ulipohusisha ulevi na Qur'an.
      Nimeacha makusudi kwa kukuonea huruma kwa ujahil (ujinga).

      Qur'an si kitu cha kukifanyia maskhara.
      Sisi tufanye mjadala huko ulikogusa hakufai wala hapa si mahala pake kabisa.
      Last edited by Mohamed Said; Today at 06:10.
  4. Clean9

No comments: