Thursday, 28 August 2014

KUTOKA JF: MALUMBANO KUHUSU KITABU CHA ABDULWAHID SYKES

Quote By Mzee Mwanakijiji View Post
Ingeita ni kitabu cha "histohisia" na siyo cha 'historia' kama ambavyo watu wanataka kuaminishwa. Kimejaa hisia zaidi na second hand informations ambazo zikiangaliwa kwa ukaribu zinakosa msingi wa ukweli katika historia.
Tokea ulipoanza kuziita hizi histohisia pale hadi leo hujapata tu nafas nawewe ukaandika na watu wa dunia wakakusoma??

Wewe tapeli chakubimbi mwanakijiji umtishe nani banah??

Vitabu vyako vya ngano za mapenz hadi leo vinadoda pale mliman city sembuse historia uiwezee wapi wewe??

Wewe utabakia kutapeli tuh humu jf na huko facebook na kwenye magazeti uchwara tuh.

Mohamed said siyo size yako hata chembe.

We fani yako si kuhubir mihadhara ya injili na kuongopea watu ushibe kwa pesa za sadaka za wanakondoo??

Unadhan hatulijui profile lako??

Teh teh teh.

Kuna malofa humu ndan unaowaongopea ongopea basi wanakuona wa maaana kumbe njaa kali tu mkimbizi wa nchi.

Teh teh teh.


Quote By Remote View Post
cathedral bookshop unayoisemea yenyewe wamejikita zaidi kwenye uuzaji wa vitabu ya dini kupitia waandishi mbalimbali na zaidi ni vitabu vya kikatoliki...
Sasa ikiwa lengo la kitabu chako nikueleza historia ya kweli ya uhuru wetu kwanini kitabu kiuzwe MANYEMA na MTORO tu??? uhisi kuwanyima haki ya kuujua ukweli ndugu zangu wa Musoma, Njombe, Bunda n.k???
au unataka watu nchi nzima waende hapo MANYEMA na MTORO??


Quote By Mohamed Said View Post
Remote,
Huwezi kumpa mwenye duka kitu auze kama hataki.
Maduka yaliyotaka kuuza kitabu hiki wamekiuza.

Labda nikufahamishe kuhusu aina ya vitabu ambavyo mimi nimenunua Cathedral
Bookshop - ''Religion and Development in Tanzania,'' cha Van Bergen na kitabu
maarufu cha Sivalon.

''Catalogue'' ya vitabu hivi havina tofauti na kitabu changu.

KASE Bookshop Arusha wameuza kitabu changu nakala nyingi sana.
TPH wameuza vilevile kitabu changu.

Book Cafe wameuza kitabu changu.

Ikiwa wauza vitabu wa Bunda na Tandahimba watakitaka bila shaka
watakipata kama walivyopata wauzaji wengine.

Vuta subra tuone.

Kitabu ndiyo kwanza kimewasili na maduka ya vitabu wanataarifa bila
shaka wataviuza.

#141   Report Post    
Ritz's Avatar
JF Senior Expert MemberArray
Join Date : 1st January 2011
Location : Republic of Nauru
Posts : 30,508
Rep Power : 78548151










Likes Received
13582










Likes Given
2001

Default Re: Kitabu cha Historia ya harakati za kupigania uhuru wa Tanganyika kimewasili nchini

Quote By Chuma Chakavu View Post
Huyo mohamed said ni mpotoshaji wa historia.
Chuma.

Ungefanya jambo la maana sana kama ungekuja na historia yako ya ukweli uliyoandika wanaukumbi tupate kuisoma mkuu.


#146   Report Post    
Papaa Wemba's Avatar
Senior MemberArray
Join Date : 27th June 2012
Posts : 204
Rep Power : 454









Likes Received
31









Likes Given
38

Default Re: Kitabu cha Historia ya harakati za kupigania uhuru wa Tanganyika kimewasili nchini

Quote By THE BIG SHOW View Post
Wewe bint wa kicongo sio kila mjadala unaoukuta basi wewe ushupalie kuuvamia na vipedo vyako.

Wewe unadhani upo kwenye vita vya kuwapigania mabwana zako kina mbowe na slaa hapa??

Shika adabu zako zezeta wewe.

Na kama unatafuta bwana hapa hakuna bwana wa bure.

Kikihiyo mkubwa.
Mohamed Said mwenyewe ni "Mcongo", tena wa kujisifia.

Mohamed Said, naku-challenge ukanushe hili!

Quote By Papaa Wemba View Post
Kwani kuwa na asili ya Kikongo kuna tatizo gani (kitu ambacho tayari Mohamed Said ame-imply kwenye nukuu hapo juu kutoka kitabu chake mwenyewe)? Kwa taarifa yako, Mohamed Said ni Mkongo kama Abdulwahid Sykes alivyokuwa Mzulu.
Papaa Wemba,
Hakika mimi ni Mmanyema na asili ya babu yangu mkuu ni Congo.

Pale Kipata nilipozaliwa mimi pana historia ya kipekee.

Mtaa wa Kipata na Congo kulikuwa na nyumba ya Ibrahim Hamisi. Huyu alikuwa Mnubi kutoka Dafur ndiko ilipokuwa asili ya baba yake.Ibrahim Hamisi alikuwa muasisi wa African Association.

Mtaa wa Kipata na Swahili na mbele Mtaa wa Sikukuu alikuwapo Hassan Machakaomo, huyu alikuwa Mzulu baba yake alikuwa na Von Wissman.
Mtaa wa Kipata na Livingstone na mbele yake New Street alikuwapo Salum Abdallah. Huyu ndiye babu yangu na yeye baba yake alikuwa Mmanyema kutoka Congo.

Hapo hapo alikuwapo Kleist Sykes huyu Mzulu na baba yake alitoka Mozambique, alikuja na Wissman.

Vitukuu vya Kleist, Machakaomo, Salum Abdallah, Ibrahim Hamisi wapo nchini hadi sasa na hawa ni vizazi vya tano.





  1. Quote By sawaka View Post
    why misikitini? ihali bookshops nyingi za kutosha
    1. Quote By sawaka View Post
      why misikitini? ihali bookshops nyingi za kutosha
      Sawaka,
      Huwezi kumpa mwenye duka kitu auze kama hataki.

      Maduka yaliyotaka kuuza kitabu hiki wamekiuza.

      KASE Bookshop Arusha wameuza kitabu changu nakala nyingi sana.

      TPH, Da es Salaam wameuza vilevile kitabu changu.

      Book Cafe, Dar es Salaam wameuza kitabu changu.


      Kitabu hiki kinapendwa sana na kinanunuliwa sana.


      Kitabu ndiyo kwanza kimewasili na maduka ya vitabu wanataarifa bila

      shaka wataviuza katika maduka yao.

      Lakini cha kuzingatia kwako ni kuwa hiki kitabu hakiuzwi msikitini.

      Ibn Hazm Media Centre maduka yake mawili moja liko Mtaa wa Mahiwa karibu na Msikiti wa Mtoro na lingine lipo Mtaa wa Mafia karibu na Msikiti wa Manyema.

      Unapotaka kumuelekeza mtu maduka haya yalipo kwa wepesi afike unamwambia nenda Msikiti wa Manyema au Mtoro.

      Lakini ikiwa mtu kwa kupenda kuifurahisha nafsi yake akasema kuwa hayo maduka ya vitabu yako ndani ya msikiti ni vigumu kwangu kumzuia.

      Mtu ana haki ya kuamini apendacho.
      Hii ni nchi huru.

      Angalia picha hii nimepiga jana tarehe 27 August 3014 katika duka la Ibn Hazm Media Centre.
      Je hapo ni msikitini?


     Ududu is offline 
    #209   Report Post    
    UduduUdudu's Avatar
    Senior MemberArray
    Join Date : 16th August 2013
    Posts : 150
    Rep Power : 384


    Likes Received
    29


    Likes Given
    2

    Default Re: Kitabu cha Historia ya harakati za kupigania uhuru wa Tanganyika kimewasili nchini

    Tukiendelea kuwachekea hawa wahuni kama kina Mohamed Said

    taifa litasambaratika hili,kule kenya hupigwa risasi mapema.

    Aliyeandika haya anaitwa ''Ududu.'' 


No comments: