KUTOKA JAMIIFORUMS ''OKELLO''
SoNotorious,
Huko nyuma nilishamueleza Okello na nilisema alikuwa mtu mjinga...
Wajanja wote walikaa kimya.
Mtu mwerevu hajigambi katika hali ya mauaji kama yale yaliyotokea
Zanzibar.
Na kama Okello angeliendelea kuishi Zanzibar huenda angeliuliwa kwa
kulipiza kisasi.
Mimi sikulazimishi uniamini hata kidogo ikiwa unapenda kuamini kuwa
Hanga na Kambona sio walopanga mapinduzi au kambi ya Sakura na
Kipumbwi, Tanga haikuwako au mamluki wa Victor Mkello ni ndoto
zangu.
Yote kwangu sawa.
Lakini kaa ukijua pasi na shaka kuwa kuna watu wengi sana wanaamini
ninachowaeleza katika historia ya Tanganyika.
Last edited by Mohamed Said; Yesterday at 06:42.
No comments:
Post a Comment