Tuesday, 20 January 2015

MJADALA MUSWADA WA MAHAKAMA YA KADHI MAMBO MUHIMU MATANO


 NGUZO TANO MUHIMU KATIKA MAHAKAMA YA KADHI 
        
Kushoto Kwenda Kulia: Sheikh Abdallah Bawazir, Sheikh Mussa Kundecha, Sheikh Amrani Kilemile, Bi. Shamim Khan, Jaji Robert Makaramba, Nyuma ya Sheikh Kundecha ni Sheikh Eng. Ali Kilima na Kushoto Kwake ni Jaffar Mneke


 1.       Mahakama ya Kadhi lazima iundwe na sheria na hiyo sheria itaje muundo wa mahakama hiyo kuanzia ngazi ya chini hadi ya mwisho.

2.      Sheria iunde chombo cha uteuzi wa makadhi na kubainisha sifa zao ndani ya sheria.

3.    Sheria iondoe mamlaka ya mahakama za kawaida kuingilia au kutafsiri na kuamua maswala yote ambayo sheria ya Kiislam itatumika.

4.      Mamlaka yote ya Waziri wa Sheria lazima ayatekeleze baada ya kushauriana na wanazuoni au chombo maalum kitakachoundwa na sheria chenye kuwakilisha Waislam wote.

5.      Mahakama ya Kadhi iwe sehemu ya mfumo wa mahakama na igharimiwe na dola.


Mapendekezo ya Baraza Kuu...pamoja na Zanzibar Kadhis Court Act No. 3 of 1985






No comments: