Thursday, 26 February 2015

KUTOKA JF: PROF. KARIM HIRJI

  1. #776   Report Post    
    FaizaFoxy's Avatar
    JF Senior Expert MemberArray
    Join Date : 13th April 2011
    Posts : 31,507
    Rep Power : 429503233
    Likes Received
    15580
    Likes Given
    12821

    Default Re: Beating the Drum on One Side: Confusing the People on Both Sides

    Quote By Chintu View Post
    Hahahaaaa! asante dada FF. Mimi mwanafunzi tu dada katika somo hili la historia, kazi yangu kubwa humu ndani ni kuangalia nani anaetoa hoja zinazoeleweka na nani anaokotezaokoteza tu hoja.
    Kadri muda unavyozidi kwenda ndivyo ninavyozidi kupata picha ya nani mkweli. Ila ninasikitika na sijui kwa nini katika hii hoja Mzee Mohammed Said kawa mpole sana na amebaki kutoa like tu kwenye majibu yako. I hope atakuwa hajaumeza mwiba usiomezeka.
    Mohamed Said tena kawa muungwana sana kuingia hapa na kutumwagia darsa kila apatapo wasaa.

    Umemuona "Professor" baada ya kuja kuomba msamaha kuwa kafanya makosa ya kitoto na kukana maandiko yake ya jana?

    Yuko wapi?
    Mohamed Said kawa criticized kwa daa za kufikirika, sasa unataka na yeye aje kujibu hypothetically?

    Yeye akija anatuwachia vipande tusome kisha tuamue wenyewe. Hili la kuchambuwa na kusasambuw ni letu si lake hili.

    Pata hiki kipande kidogo:

    Nyerere: A Lone Hero of the Struggle for Tanganyika’s Independence

    The heading of the paper is from words which the late Hamza Aziz told me during discussion about the political history of Tanganyika. Hamza Aziz was a police officer in the colonial force and one of the TANU informants during the struggle for Tanganyika’s independence in 1950s passing on information to TANU top leadership as to what the police was plotting against the party. After independence Hamza Aziz was made Inspector General of Police (IGP) by Nyerere. Reflecting on what was the end of his elder brother, [1] the once rich and flamboyant Dossa Aziz and his contribution to the struggle for independence, first as a party financier and second as Nyerere’s close friend, ally and right hand man and retrospectively coming to the painful reality that his brother died a poor man; and the fact that his brother does not feature anywhere in Nyerere’s life or in the history of the struggle or in TANU’s history, the party which he was among the 17 founder members in 1954, he sadly uttered these words, ‘’Tanzania is a country without heroes. Tanzania has one hero only and that hero is Julius Kambarage Nyerere.’’

    Hamza Aziz’s sadness could probably among other things be deduced from the fact that a street near Mbaruku Street where Dossa had lived during the struggle was at that time recently named after a non entity controversial Muslim politician Yusuf Makamba who together with a Catholic priest Camillus Luambano were a source of Muslim killings in the infamous Mwembechai Mosque raid by the paramilitary in 1998.[2] It was not possible to understand what compelled the city authorities to honour Yusuf Makamba or what criteria was applied to immortalise the man who majority of Muslims consider has Muslim blood in his hands and forget to honour Dossa Aziz after what he did tothe country and to Nyerere. Dossa’s house was among two centres where the young nationalists used to meet to organise and strategise against the British. The other place was at Abdulwahid Sykes’s house at Aggrey Street. These two houses should have been preserved and made national monuments for posterity.

    Little did Hamza Aziz realise at that time that he was by that sentence reviving sad memories of all forgotten political actors of the post World War II era in Tanganyika. Dossa Aziz died a poor man at Mlandizi a remote village outside Dar es Salaam. There were no eulogies from the ruling party Chama Cha Mapinduzi (CCM) at his grave side or obituaries in the party newspapers. Nyerere his ‘’comrade in arms’’ during the struggle did not even attend his funeral. Dossa Aziz in his heydays was nicknamed ‘’The Bank’’ because of his wealth and generosity. He had at that time inherited his father’s construction business when his father Aziz Ali died in 1951.[3] Dossa Aziz bankrolled TAA and later TANU and Nyerere with ease until independence was achieved. Dossa Aziz donated a car to the movement for Nyerere’s personal use. This was the first mode of transport to be owned by TANU. No one knows the whereabouts of this vehicle which should have today been preserved and displayed at the National Museum for all future generations.

    Chanzo: Seminar: TANZANIA - A COUNTRY WITHOUT HEROES - Mohamed Said

    Did Hirji criticize any of that?
    Last edited by FaizaFoxy; Yesterday at 01:10.
    You and THE BIG SHOW like this.
    Pedagogic at Heart
  2. Mag3 is offline 
    #777   Report Post    
    Mag3's Avatar
    JF Gold MemberArray
    Join Date : 31st May 2008
    Posts : 4,989
    Rep Power : 344933999
    Likes Received
    4407
    Likes Given
    4318

    Default Re: Beating the Drum on One Side: Confusing the People on Both Sides

    NgongoNanren and Nguruvi3 like this.

  3. Ritz is offline 
    #778   Report Post    
    Ritz's Avatar
    JF Tanzanite MemberArray
    Join Date : 1st January 2011
    Location : Republic of Nauru
    Posts : 33,091
    Rep Power : 78548822
    Likes Received
    15478
    Likes Given
    2053

    Default

    Quote By kfhirji View Post
    Kuhusu Mau Mau au Maji Maji

    Hataa Profesa anaweza kufanya kosa la kitoto.
    Kwa haraka niliandika Mau Mau lakini maana yangu ilikuwa Maj Maji.
    Na omba msamaha kwa wasomaji wangu kwa kosa hilo.
    Kosa kadogo kama hilo haliwezi kupindua logic na ukweli wa makala mzima.
    Ni wale ambao hawataki kufikiria mambo kwa kiundani ndiyo watanganganyia makosa madogo.
    Kama utasoma scientific journals utaona section ya corrections; wanasayansi wengi wana
    rekebisha makala yao na kutoa makosa yaliogunduliwa na wasomaji.

    Halafu nataka kuwafahamisha kuwa hapo kwenye Jamii Forums kuna NUSU TU ya makala
    yangu Beating the Drum... Sehemu ya mwisho Conclusions imekatwa. Sijui nani amefany kosa hilo.
    Ni bora kusoma makala mzima kabla ya kuyajadili.



    Prof. Karim Hirji

No comments: