Thursday, 26 February 2015

KUTOKA JF: KITABU CHA PADRI SIVALON

  1. Mohamed Said's Avatar
    JF Senior Expert MemberArray
    Join Date : 2nd November 2008
    Posts : 6,324
    Rep Power : 339982
    Likes Received
    5442
    Likes Given
    267

    Default Re: Beating the Drum on One Side: Confusing the People on Both Sides

    Quote By Nguruvi3 View Post
    Hajat faiza Fox, al maarufu punjab Sing, Shariif Ritz ,Al akly THE BIG SHOW, na Al Alma Mohamed Said. Ahadi ni deni, na huwa sitoi kauli bila kuwa na msingi wa kauli hiyo. 
    Nipo tayari, nimekusanya makabrasha, panya wameyaparaza kidogo lakini sehemu za MS zipo intact. Ninakuja tuongee. Kabla sijamwaga kinachoitwa takwimu za Mohamed, napenda niwape kionjo kuwa mambo yamekaa uzuri, halafu jioni nawapa data zake. Zipo ili nina udhuru kidogo, nakwenda kuchukua madafu sehemu, jua kali
    Niwaonyeshe kuwa Ms kafanya makosa mengi zaidi si ya logic bali ya upotoshaji. Nashangaa mnaposema Hirji ambaye amekiri kukosea mau mau na maji maji ametenda dhambi kuu. Hii ya Mohamed saidi si kuwa ni dhambi tu…

    1. Nilimuuliza Mohamed Said mwaka 2011, kutokana na kauli yake kuwa EAMWS iliuawa na wakatoliki na Nyerere, je ana ushahidi wowote.


    Mohamed Saidi akajibu hivi: Ukisoma ukursa huo hakuna mahali paliposema Wakatoliki walishirikiana na Nyerere kuua EAMWS. Hii maana yake ni kuwa Mohamed Said ametunga hadithi kama kawaida, kaiweka kwa lugha nzuri akijua anapotosha. Sikuwa alighafilikiwa kwa maneno, bali alisema maneno yasiyo na ukweli na ukurasa ni shahdi.

    Nitaendelea maana niliwaonya kuwa mzee atakaa karibu na uani


    Sikuweza kuupload ukurasa, ninao hapa
    Wanabarza,
    Nguruvi3
     kashindwa kuupload ukurasa wa 37 wa Sivalon.
    Mimi nakuwekeeni hapa chini:



    Ndugu zanguni someni ukurasa huu na tufahamishane nini
    Sivalon kasema.

    Wallahi nacheka peke yangu.
    Kuna watu majasiri pasi kiasi.

    Naogopa kusema ujinga.

    Huyu Nguruvi3 anampa copy Faiza kumwalika ngomani.
    Sasa huku si kujitakia dhahma bila sababu?

    Nguruvi3 ndugu yangu unaamini nini wewe mtu kumchokoza Maalim Faiza.
    Unamtegemea Ngongo?
    Wewe mtu una kiranga.
    FaizaFoxy and THE BIG SHOW like this.
  2. #680   Report Post    
    KYALOSANGI's Avatar
    JF Senior Expert MemberArray
    Join Date : 21st January 2011
    Location : town
    Posts : 1,111
    Rep Power : 736
    Likes Received
    317
    Likes Given
    296

    Default Re: Beating the Drum on One Side: Confusing the People on Both Sides


    Quote By Mohamed Said View Post
    Sibonike
    Hujafikia makamu ya kufanya mnakasha na mimi. Toka mwanzo nilijua hutofika mbali.

    Katika yote niliyokuwekea hapo mchango wako ndiyo huo? Basi nimekuwia radhi.

    Ilitakiwa ujipime kwanza kabla.

    Hiyo paper, "Tanzania a Country Without Heroes," niliitoa Nairobi
    kwenye kongamano la kuadhimisha miaka 50 ya uhuru wa nchi za
    Afrika ya Mashariki.

    Watayarishaji walikuwa IFRA French Institute for Research in Africa /BIEA British Institute in East Africa.

    Hawa jamaa ndiyo walionialika na kutoka Tanzania nilikuwa peke yangu.

    Hili peke yake ingekujulisha moto wa maji unayotaka kuoga.

    Pili paper yangu aliyepiga "critique," ni profesa. Sasa wewe hapa unaingiaje?

    Hata ujanja huo huna?



    Sibonike,
    Semina niliyotoa paper, "Tanzania: A Nation Without Heroes," ilihudhuriwa na hao hapo juu.

    Je wewe unaweza kusogezewa kiti hapo ukakaa?

    Unasema kuna shule zilitaifishwa ili Waislam wasome...
    Msikilize Mzee Kitwana Kondo aliyozungumza Bungeni mwaka 1999:

    "Lakini tuende kielimu. Ninayo ripoti ya mwaka huu. Waliofanya mtihani wa darasa la saba kuingia darasa la tisa, asilimia 71 Waislamu. Asilimia 29 ni wengine. Walioshinda katika wale asilimia 71 ni asilimia 21. Katika wale 29 walioshinda tena sema mwenyewe. Katika asilimia 29 waliokwenda shuleni ni asilimia 79. Katika asilimia 71 waliokwenda darasa la tisa ni asilimia 21.Sasa kuna moja, ama Waislamu wajinga ama akili yao haifanyi kazi, ama mtu ukiwa Muislamu wewe huna kitu, ama kuna kitu. Sasa namwomba Waziri anayehusika, anaposema aseme ya kwamba kwa hali ilivyo Waislamu wameumbwa wajinga. Au kwa hali ilivyo kuna sababu kadha, kadha. Mwalimu Nyerere alisema zamani ifanywe bidii ya kuwanyanyua waliokuwa chini. Sasa bidii hii siyo ya kuwanyanyua waliokuwa chini. Bidii hii ni ya kuwakandamiza waliokuwa chini."

No comments: