Kutoka Gazeti la Annuur la
tarehe 28 Agosti 2015
Ustadh Jamal Yassin |
Mh. Sana Mzee Mkapa, kwa haya…
Waislamu wakidai ukombozi
itakuwa ‘upumbafu na Ulofa’?
*Sikiliza kisa hiki cha ‘Central Police’
*Unateswa, ukisema ‘Subhannallah’ kosa
*Unachomwa moto mikono kwa plastiki
*Sindano shingoni, wanachomwa ya nini?
*Katika mateso haya yumo mwanamke…
*Wamo pia watoto wa Kiislamu miaka 14, 15!!!
*Hii ndiyo hali anayotuacha nayo Rais wetu Kikwete!
Na Bakari Mwakangwale
Watanzania washakombolewa ndivyo alivyotuambia Rais Mstaafu, Benjamin
William Mkapa. Na kwa hiyo akasema, wanaosema wanataka kuleta ukombozi, ni wapumbavu na malofa.Lakini labda la kujiuliza ni hili, kwa jamii ya watu wanaokumbana na madhila kama haya anayosimulia kijana Jamal Yassin, wanalipi la kujivunia katika ukombozi huu?
Waislamu wakidai ukombozi
itakuwa ‘upumbafu na Ulofa’?
*Sikiliza kisa hiki cha ‘Central Police’
*Unateswa, ukisema ‘Subhannallah’ kosa
*Unachomwa moto mikono kwa plastiki
*Sindano shingoni, wanachomwa ya nini?
*Katika mateso haya yumo mwanamke…
*Wamo pia watoto wa Kiislamu miaka 14, 15!!!
*Hii ndiyo hali anayotuacha nayo Rais wetu Kikwete!
Na Bakari Mwakangwale
Watanzania washakombolewa ndivyo alivyotuambia Rais Mstaafu, Benjamin
William Mkapa. Na kwa hiyo akasema, wanaosema wanataka kuleta ukombozi, ni wapumbavu na malofa.Lakini labda la kujiuliza ni hili, kwa jamii ya watu wanaokumbana na madhila kama haya anayosimulia kijana Jamal Yassin, wanalipi la kujivunia katika ukombozi huu?
Hivi huyu naye akisema anapigania
‘ukombozi’ ili Uislamu wake usiwe sababu ya kupelekwa ‘Shimoni’, tumuite ni ‘mpumbavu’?
Hivi huyu akitamani ukombozi ili awe sawa na wenzake ambao wakisema ni
Hivi huyu akitamani ukombozi ili awe sawa na wenzake ambao wakisema ni
Wasabato au Wakatoliki, haiwi sababu ya kupelekwa
‘Guantanamo’, ni
haki kumuita ‘lofa’?
haki kumuita ‘lofa’?
Maswali haya ni muhimu kuyatafakari kutokana na hali mbaya
inayowasibuWaislamu wanaokamatwa na Jeshi la Polisi na kuwekwa katika
mahabusu ya Makao Makuu ya Jeshi hilo (Central Police) Jijini Dar es
Salaam, bila hata ndugu zao kujua walipo.
Inaelezwa
kuwa kuna kundi kubwa la Waislamu walio mahabusu, huku hali
ya afya zao ikiwa mbaya kutokana na vipigo na mateso.
ya afya zao ikiwa mbaya kutokana na vipigo na mateso.
Hao ni wale waliokamatwa katika mazingira ya kutatanisha na
‘kubambikwa’ tuhuma za ugaidi.
Akielezea hali za watuhumiwa hao, Ustadh Jamali Yassin (33), ambaye ni
muhanga wa vipigo vya Polisi, anasema, “we sikia tu, lakini
usishuhudie wanayofanyiwa Waislamu hao watuhumiwa.”
Ustadh Yassin aliachiwa Ijumaa ya wiki iliyopita baada ya kushikiliwa
kwa takriban mwezi mzima.
Akiongea na An nuur, Ustadh Yassin amesema, hali ya Waislamu
wanaotuhumiwa kwa ugaidi na madai ya kuvamia vituo vya Polisi,
inatisha.
Amesema, mbaya zaidi ni Waislamu hao kuwemo humo kwa muda mrefu pasi
ya kufikishwa mahakamani, huku ndugu zao wakiwa hawajui,hivyo
kusababisha kukosa mahitaji muhimu ikiwemo chakula na matibabu.
Alisema, hali hiyo ndiyo imemkuta yeye binafsi, ambaye alikamatwa
majira ya saa mbili usiku, mwanzoni mwa mwezi wa Julai, mwaka huu akiwa
njiani akitokea Mbagala na kufikishwa katika Makao Makuu ya Jeshi hilo
na ndugu zake hawakupewa taarifa mpaka alipoachiwa Ijumaa ya wiki
iliyopita.
Akizungumzia kukamatwa kwake alisema, anakumbuka ilikuwa siku ya
Ijumaa moja ya mwanzoni mwa mwezi wa saba, mwaka huu akitokea
Mbagala, kwenda Kigamboni, majira ya saa mbili usiku, baada ya
Daladala aliyopanda kuishia njiani na abiria watatu waliokuwemo
kulazimika kushuka.
Alisema, akiwa na abiria hao wenzake ambao ni wanawake, walipitia
barabara iendayo Stesheni au Makao Makuu ya Jeshi la Polisi
(Central).
Njiani walikutana na gari ya Polisi, ghafla ilisimama na kuamriwa
wasimame na wakae chini.
“Walipofika walianza kuwauliza wale wenzangu imani zao. Wa kwanza
alisema yeye ni Mkristo wa dhehebu la Wasabato, akaambiwa nenda na
mwingine akasema yeye pia ni Mkristo wa dhehebu la Pentekoste, nae
akaambiwa aende.”
“Kazi ikabakia kwangu sasa, wakasema
‘wewe mwenyekanzu fupi
usiondoke’, nikaamriwa niinue mikono juu na kunirusha kichura kuelekea
katika gari lao na hapo safari ya ‘Sentro’ ikaanza.” Alisema ustadh
Yassin.
usiondoke’, nikaamriwa niinue mikono juu na kunirusha kichura kuelekea
katika gari lao na hapo safari ya ‘Sentro’ ikaanza.” Alisema ustadh
Yassin.
Anasema, baada ya kufika getini,
kabla ya kuingia ndani, walianza
kumkagua, wakidai waangalie mabomu aliyobeba, ambapo walimvua kanzu na
kisha suruali na kubakia na nguo ya ndani.
kumkagua, wakidai waangalie mabomu aliyobeba, ambapo walimvua kanzu na
kisha suruali na kubakia na nguo ya ndani.
“Nikiwa hapo getini, walitoka
maafande wengine humo Polisi,
wakishabikia kwa kuwapongeza wale wenzao kwa kunikamata mimi gaidi,
ikawa sasa kila afande anayekuja nje, kauli ni hiyo hiyo kuwa gaidi
kashikwa, nikabaki nimeduwaa.” Alieleza.
wakishabikia kwa kuwapongeza wale wenzao kwa kunikamata mimi gaidi,
ikawa sasa kila afande anayekuja nje, kauli ni hiyo hiyo kuwa gaidi
kashikwa, nikabaki nimeduwaa.” Alieleza.
Ustadh Yassin, anasema alistuka zaidi
alipoamrishwa alale chini na
alipolala alisikia afande mmoja akiuliza, “vipi tummalize hapahapa au
tumuachie”?
alipolala alisikia afande mmoja akiuliza, “vipi tummalize hapahapa au
tumuachie”?
Akasema, kabla hajajibiwa alifika
afande mmoja aliyemtaja kwa jina la
Mohammed, ambaye aliingilia kati akiwaambia kuwa aliwaona
walipomkamtia kuwa ni jirani na hapo Polisi, akiwa na wanawake wawili
na kuwasihi wamwachie aende zake.
Mohammed, ambaye aliingilia kati akiwaambia kuwa aliwaona
walipomkamtia kuwa ni jirani na hapo Polisi, akiwa na wanawake wawili
na kuwasihi wamwachie aende zake.
Hata hivyo anasema, utetezi ule
kutoka kwa Polisi mwenzao,
aliyeshuhudia alivyokamatwa na alipokamatiwa, haukusaidia kitu.
“Nilikuwa nimelala kifudifudi nikawa nasikia, kraaa, kraaa, bunduki
inaandaliwa.”
aliyeshuhudia alivyokamatwa na alipokamatiwa, haukusaidia kitu.
“Nilikuwa nimelala kifudifudi nikawa nasikia, kraaa, kraaa, bunduki
inaandaliwa.”
“Sikuwa na namna nyingine pale chini,
zaidi ya kutoa shahada, kwani
nilijua sasa lolote linaweza kutokea ‘Bi Idhinillah Karim’.”
nilijua sasa lolote linaweza kutokea ‘Bi Idhinillah Karim’.”
“Nikazidisha Shahada na kumuomba
Allah anipokelee Shahada yangu.”
“Ghafla nikasikia inuka, nikaambiwa nivae nguo kisha sasa nikaingizwa
ndani na kupewa nafasi ya kujieleza, ndipo nilipowaeleza kuwa mie
nimetoka kwa jamaa zangu Mbagala na nilishuka pale kwa sababu daladala
ilikatiza ruti yake. Hata hivyo hawakukubaliana namie.” Alisema Ustadh
Yassin.
“Ghafla nikasikia inuka, nikaambiwa nivae nguo kisha sasa nikaingizwa
ndani na kupewa nafasi ya kujieleza, ndipo nilipowaeleza kuwa mie
nimetoka kwa jamaa zangu Mbagala na nilishuka pale kwa sababu daladala
ilikatiza ruti yake. Hata hivyo hawakukubaliana namie.” Alisema Ustadh
Yassin.
Alisema, alianza kushutumiwa kuwa
yeye ni miongoni mwa wahalifu
waliovamia vituo vya Polisi na kuiba silaha kwa lengo la kusimamisha
Jihadi na kuifanya Tanzania kuwa nchi ya Kiislamu.
“Baada ya hapo waliniingiza katika chumba kidogo hukunikiwa na pingu
za miguuni na mikononi kwa nyuma, pingu ambazo si kama hizi tulizo
zizoea, hizo zinabana na zinakuwa kama zinamiiba ukijitingisha
zinacho.”
waliovamia vituo vya Polisi na kuiba silaha kwa lengo la kusimamisha
Jihadi na kuifanya Tanzania kuwa nchi ya Kiislamu.
“Baada ya hapo waliniingiza katika chumba kidogo hukunikiwa na pingu
za miguuni na mikononi kwa nyuma, pingu ambazo si kama hizi tulizo
zizoea, hizo zinabana na zinakuwa kama zinamiiba ukijitingisha
zinacho.”
“Nikiwa humo, walinimwagia maji ya
baridi sana kama vile yametoka
katika friji. Waliniacha katika hali hiyo mpaka siku iliyofuatia na
asubuhi yake waliingia maafande wakijifariji na kupongezana kuwa
wamekamata gaidi katika msako wao.” Alisema Ustadh Yassin akisimulia
masaibu yaliyomkuta.
katika friji. Waliniacha katika hali hiyo mpaka siku iliyofuatia na
asubuhi yake waliingia maafande wakijifariji na kupongezana kuwa
wamekamata gaidi katika msako wao.” Alisema Ustadh Yassin akisimulia
masaibu yaliyomkuta.
Alisema, siku iliyofuatia walianza
kumuhoji, wakitaka awaeleze silaha
ziko wapi, na awatajie watu alioshirikiana nao katika kuvunja kituo
cha Polisi cha Sitakishari, na awaambie wenzake aliovamia nao na kuuwa
Askari wenzao wa Amboni, Tanga wako wapi.
ziko wapi, na awatajie watu alioshirikiana nao katika kuvunja kituo
cha Polisi cha Sitakishari, na awaambie wenzake aliovamia nao na kuuwa
Askari wenzao wa Amboni, Tanga wako wapi.
Mbali ya hayo, alidai kuwa alitakiwa
akubali kwamba yeye ni Muislamu
mwenye itikadi kali na alipokataa, alipigwa makofi ya nguvu, wakimtaka
akiri kuwa yeye ni gaidi.
mwenye itikadi kali na alipokataa, alipigwa makofi ya nguvu, wakimtaka
akiri kuwa yeye ni gaidi.
“Katika majibu yangu niliendelea
kubaki katika msimamo wangu ule ule
kuwa mimi sio gaidi, sio siasa kali na wala sihusiki na uvamizi wa
vituo vya Polisi wala sihusiki na mauaji ya Polisi wenu.”
kuwa mimi sio gaidi, sio siasa kali na wala sihusiki na uvamizi wa
vituo vya Polisi wala sihusiki na mauaji ya Polisi wenu.”
“Wakaniambia kwa usalama wangu, ili
niweze kusalimika na adhabu,
nikubaliane na kile watakacho niuliza na kujibu wanavyo taka wao.”
“Baada ya hapo sasa zajioni, ndipo waliponipeleka ‘Shimoni’, kunako
sehemu ya mahabusu.”
nikubaliane na kile watakacho niuliza na kujibu wanavyo taka wao.”
“Baada ya hapo sasa zajioni, ndipo waliponipeleka ‘Shimoni’, kunako
sehemu ya mahabusu.”
“Laahaula! Nilipigwa na butwaa
kuwakuta Waislamu wengi mno na wengine
ambao wametoweka siku nyingi uraiani.” Alisema Ustadh Yassin.
ambao wametoweka siku nyingi uraiani.” Alisema Ustadh Yassin.
Alisema, alijaaliwa kuachiwa Ijumaa
(iliyopita) jioni kwa maelezo kuwa
hana hatia huku akielezwa kuwa bado anafanyiwa uchunguzi na kutakiwa
kwenda kuripoti kituoni hapo.
hana hatia huku akielezwa kuwa bado anafanyiwa uchunguzi na kutakiwa
kwenda kuripoti kituoni hapo.
Alisema, kwa muda wote aliokuwepo
mikononi mwa Polisi, mpaka siku hiyo
waliyomwachia, ndugu na jamaa zake hawakujua yupo wapi na tokea hapo
wamehangaika sana kumtafuta kiasi cha kukata tamaa.
waliyomwachia, ndugu na jamaa zake hawakujua yupo wapi na tokea hapo
wamehangaika sana kumtafuta kiasi cha kukata tamaa.
“Walishanitafuta katika vituo vyote
vya Polisi na baada ya hapo
walikwenda pia katika wodi za hospitali mpaka mochwari (chumba cha
kuhifadhia maiti), lakini hawakupata taarifa zangu wala maelezo
yoyote.”
walikwenda pia katika wodi za hospitali mpaka mochwari (chumba cha
kuhifadhia maiti), lakini hawakupata taarifa zangu wala maelezo
yoyote.”
“Cha ajabu miongoni mwa vituo vya
Polisi walivyofika na hapo Sentro
pia walifika napo walielezwa kuwa sipo zaidi waliandikiwa RB, ili
waendelee kunitafuta sehemu mbalimbali.” Alisema.
pia walifika napo walielezwa kuwa sipo zaidi waliandikiwa RB, ili
waendelee kunitafuta sehemu mbalimbali.” Alisema.
Ustadh Yassin, anasema alishangaa
kuwakuta baadhi ya Waislamu humo
‘Shimoni’ ambao tayari ndugu zao wamekata tamaa kwa kutofahamu wapi
walipo baada ya kuhangaika sana kuwatafuta kila sehemu.
‘Shimoni’ ambao tayari ndugu zao wamekata tamaa kwa kutofahamu wapi
walipo baada ya kuhangaika sana kuwatafuta kila sehemu.
“Wengine niliwafahamu ambao huwa
tunakutana katika mambo ya Da’awa,
kwa ujumla nilishangaa kuwaona humo na wao waliponiona walishangaa
pia.”
kwa ujumla nilishangaa kuwaona humo na wao waliponiona walishangaa
pia.”
Katika hali hiyo ya mateso anasema,
“Waislamu hao hawanala kufanya,
zaidi wanapeana nasaha kuwa na SUBRA.”
zaidi wanapeana nasaha kuwa na SUBRA.”
Alimtaja Ustadhi Abubakar Mohammed,
ambae alidai kuwa alitoweka siku
nyingi baada ya taarifa kuzagaa kuwa alikuwa akitafutwa na Polisi na
hakuna anayejua kama anashikiliwa na Polisi.”
nyingi baada ya taarifa kuzagaa kuwa alikuwa akitafutwa na Polisi na
hakuna anayejua kama anashikiliwa na Polisi.”
“Inajulikana kuwa kakimbia mji baada
ya kusikia anatafutwa na Jeshi la
Polisi, lakini kumbe wanaye wamemkamata siku nyingi na hakuna anayejua
kuwa yupo humo, kwa maelezo yake ameniambia kuwa alikamtwa na Polisi
muda mrefu.”Amesema.
Polisi, lakini kumbe wanaye wamemkamata siku nyingi na hakuna anayejua
kuwa yupo humo, kwa maelezo yake ameniambia kuwa alikamtwa na Polisi
muda mrefu.”Amesema.
Alisema, cha kushangaza katika kundi
hilo wamo watoto wa Kiislamu
wenye umri wa kati ya miaka 14-15, ambao nao wanahusishwa na ugaidi.
Akasema, ni jambo la kushangaza juu ya utendaji wa Jeshi la Polisi
la nchi hii dhidi ya Waislamu.
wenye umri wa kati ya miaka 14-15, ambao nao wanahusishwa na ugaidi.
Akasema, ni jambo la kushangaza juu ya utendaji wa Jeshi la Polisi
la nchi hii dhidi ya Waislamu.
Ustadh Jamal Yassin alimtaja Amir
Qudra Sama, kuwa ndiye mtuhumiwa
pekee anayejulikana kama yumo humo Makao Makuu ya Jeshi la
Polisi,ambaye hupokea chakula kutoka kwa ndugu zake.
pekee anayejulikana kama yumo humo Makao Makuu ya Jeshi la
Polisi,ambaye hupokea chakula kutoka kwa ndugu zake.
Aidha, Ustadh Yassini alibainisha
kuwa Waislamu wanaokamatwa na
kupewa tuhuma za Ugaidi na ujambazi wa vituo vya Polisi,
hufikishwa‘Sentro’ kisha hupelekwa Mikocheni, kwa ajili ya kuhojiwa na
kupewa mateso, vipigo na adhabu hutolewa huko huko isipokuwa wale
wenye tuhuma za ujambazi, wizi na mambo mengine wao huhojiwa hapo hapo
(Sentro).
kupewa tuhuma za Ugaidi na ujambazi wa vituo vya Polisi,
hufikishwa‘Sentro’ kisha hupelekwa Mikocheni, kwa ajili ya kuhojiwa na
kupewa mateso, vipigo na adhabu hutolewa huko huko isipokuwa wale
wenye tuhuma za ujambazi, wizi na mambo mengine wao huhojiwa hapo hapo
(Sentro).
Yassin anasema, ameamua kutoa taarifa
hizi kutokana na uchungu
alioupata baada ya kuwakuta ndugu zake wa Kiislamu wakiwa katika
mateso ambayo hata yeye ameyapitia na kwamba kutoka kwake ni kama
bahati tu.
alioupata baada ya kuwakuta ndugu zake wa Kiislamu wakiwa katika
mateso ambayo hata yeye ameyapitia na kwamba kutoka kwake ni kama
bahati tu.
“Nimeamua kuyasema haya kutokana na
uchugu juu ya Uislamu pamoja na
yale niliyoyaona kwa jinsi Waislamu wanavyotendewa, na hata hii potea
potea ya Waislamu, wafahamu kuwa Jeshi la Polisi ndio linalo husika
kwa kiasi kikubwa.” Alisema Ustadh Yassin.
yale niliyoyaona kwa jinsi Waislamu wanavyotendewa, na hata hii potea
potea ya Waislamu, wafahamu kuwa Jeshi la Polisi ndio linalo husika
kwa kiasi kikubwa.” Alisema Ustadh Yassin.
Alisema, kuna kijana mmoja
(hakumkumbuka jina lake) ambaye alidai
hana hakika kama mkono wake utasalimika kutokana na jeraha kubwa
alilonalo katika kifundo cha mkononi.
hana hakika kama mkono wake utasalimika kutokana na jeraha kubwa
alilonalo katika kifundo cha mkononi.
Akisimulia yaliyomsibu kijana huyo
anasema, jeraha hilo limetokana na
kuunguzwa na polisi.
kuunguzwa na polisi.
Polisi
walimuunguza moto kwa kutumia kipande cha ndoo ya plastiki.
“Yupo kijana mmoja wa Kiislamu, kwakweli sijui kama mkono wake utabaki
salama, umeharibika vibaya baada ya kuchomwa na mabaki ya ndoo ya
plastiki. Hiyo ni baada ya kusema neno ‘Subhanallah’ wakati akiteswa.”
“Polisi hao wakadai kuwa hilo ni tusi kubwa, (eti) kamtusi Afisa wa
Polisi aliyekuwa akimuhoji.”
“Yupo kijana mmoja wa Kiislamu, kwakweli sijui kama mkono wake utabaki
salama, umeharibika vibaya baada ya kuchomwa na mabaki ya ndoo ya
plastiki. Hiyo ni baada ya kusema neno ‘Subhanallah’ wakati akiteswa.”
“Polisi hao wakadai kuwa hilo ni tusi kubwa, (eti) kamtusi Afisa wa
Polisi aliyekuwa akimuhoji.”
Alisema, mbali ya kijana huyo, pia kuna mama mmoja wa Kiislamu
aliyemtaja kwa jina moja la Zainab, ambaye naye anatuhuma za ugaidi.
Mama huyo anashikiliwa na Polisi yapata mwezi sasa, huku hali yake
ikiwa mbaya kufuatia kipigo cha Polisi.
Alisema, sababu ya kukamatwa kwake ni
kuvaa Hijjabu, akiwa na soksi
mikononi na miguuni pamoja na nikaabu.
mikononi na miguuni pamoja na nikaabu.
Ustadh
Yasini alidai kwa mujibu wa maelezo ya mama huyo, alikuwa
katika mihangaiko ya kutafuta mahitaji yake ya kawaida maeneo ya
Mbagala na kujikuta anakamatwa na Polisi.
katika mihangaiko ya kutafuta mahitaji yake ya kawaida maeneo ya
Mbagala na kujikuta anakamatwa na Polisi.
Mama huyo anadai kuwa alipofikishwa kituoni, alipigwa sanaili akubali
kuwa yeye ni gaidi jambo ambalo hakukubaliana nalo.
“Kwa
maelezo yake tokea akamatwe mpaka hivi sasa ndugu zake hawajui
kama yupo hapo, na amewaomba Polisi, wajulishwe ndugu zake lakini
Polisi wamekataa, ni vitu vya ajabu sana.” Alisema Yassin akionyesha
kustaajabu.
kama yupo hapo, na amewaomba Polisi, wajulishwe ndugu zake lakini
Polisi wamekataa, ni vitu vya ajabu sana.” Alisema Yassin akionyesha
kustaajabu.
Alisema, kila anapofikiria hali ya Waislamu na yaliyomkuta yeye,
anasikia mwili unamsisimka.
Kwa
maana akasema,si hali ya kawaida na uombe Mungu uyasikie tu, lakini
usiombe ukayashuhudia au yakakufika.
usiombe ukayashuhudia au yakakufika.
“Ni mambo ambayo mimi nimejionea kwa macho na yamenikuta, yaani
najisikia tofauti sana kutokana na yale niliyofanyiwa na kuyaona
kutokana na hali walizokuwa nazo Waislamu huko ‘Sentro’,ni mambo
ambayo yanatisha si kwamba unaweza kukubali kama yanafanywa na Jeshi
la Polisi (lenye dhima ya kulinda Usalama wa Raia na Mali zao).”
Alisema.
Kutokana ma madhila wanayoyapata Waislamu, pale ‘Sentro’, anasema,
imewashangaza hata mahabusu ambao ni majambazi waliokubuhu.
Majambazi hao wanasema wazi kuwa wanawaonea hurumaWaislamu ambao
wanaingizwa humo kwa tuhuma za ugaidi, maana mateso wanayopewa hakuna
jambazi anayepewa mateso kama hayo.
“Wanashangaa,
kisha wanasema wao ni majambazi tena walioshiriki
katika matukio ya mauaji, lakini hawadhibiwi kama sisiambao
tumeingizwa humo kutokana na imani zetu tu.” Alisema akinukuu maelezo
ya baadhi ya majambazi hao.
katika matukio ya mauaji, lakini hawadhibiwi kama sisiambao
tumeingizwa humo kutokana na imani zetu tu.” Alisema akinukuu maelezo
ya baadhi ya majambazi hao.
Alisema, jambo la kutisha zaidi ni sindano aliyopigwa kabla ya
kuingizwa ‘Shimoni’ mahabusu.
Na kwamba sindano hiyo hupigwa Waislamu, lakini hakuona watuhumiwa
wengine kama majambazi na wengine wenye tuhuma mbalimbali wakichomwa
sindano hiyo.
“Sindano hiyo hupigwa baina ya shingo na mabega, mpaka sasa hivi
sielewi hatma ya afya yangu itakuwaje huko mbele, maana huambiwi
sindano hiyo unachomwa kwa ajili gani,yaani mimi nilisikia tu ikitoka
amri, ‘mchome sindano huyo’.” Alisema Ustadh Yassin.
No comments:
Post a Comment