Tuesday, 18 August 2015

KUTOKA JF: WAISLAM NA UCHAGUZI MKUU 2015 2

#1   Report Post    
eddiebarongo's Avatar
Junior MemberArray
Join Date : 26th November 2013
Posts : 1
Rep Power : 0

Likes Received
1

Likes Given
0

Default Viongozi wa kamati za Dini ya kiislamu wamlipua Lowassa, Wasema hatoshi kuwa Rais

Viongozi wa kamati za Dini ya kiislamu wamlipua Lowassa....
Wasema hatoshi kuwa Rais ajaye wa Tz
 Attached Files
CONSTRUCTIVE THOUGHT likes this.

Quote By eddiebarongo View Post
Viongozi wa kamati za Dini ya kiislamu wamlipua Lowassa....
Wasema hatoshi kuwa Rais ajaye wa Tz
Eddiebarongo,
Ahsante kwa kutowekea hapa hizi ''audio.''

Upo uwezekano wa kupata ''video,'' tuwaone hawa ''viongozi wa
kamati za dini ya Kiislam?''

Imekuwa tabu kuweza kuwatambua hawa viongozi wa Kiislam kwa
sauti.

Inaelekea hawa ni viongozi wapya kwani viongozi wa Kiislam takriban
wote mimi naweza kuwatambua kwa sauti zao.

Huyu kiongozi wa Kiislam ambae hawezi kutafautisha kati ya ''r'' na ''l''
kanishughulisha kidogo.

Anatamka, ''talehe,'' badala ya ''tarehe,'' nk.

Huwezi ukawa umepita madras na ukasomeshwa Qur'an ukashindwa
kubainisha tofauti kati ya herufi hizo.

Yapo mengi ya kusema lakini bora kwanza niwaone hawa ''viongozi
wa Kiislam.''
Last edited by Mohamed Said; Today at 06:39.

No comments: