By nndondo
NSSF imetumia sana Udini kwa miaka yote 10 ya mdini kikwete, tena Dau ndio huko kwenye kamati ya waislamu ndio Mwenyekiti wao, na anaheshimika sana kwa mkakati huo, watanzania walishasema huku miaka mingi, kaangalia wanafunzi wanaolipiwa na NSSF Mzumbe ndio utaelewa na kwa kuwa ni vilaza ndio maana hawapelekwi vyuo vingine maana watafeli, hebu angalia wakurugenzi wa maana kama wakina Crescentias Magori wamegeuzwa kondoo wa msibani, wamenywea wamechoka, hata matangazo ya kazi sasa tumeacha kuandika application tumewaachia Bakwata na Misikiti, huyu Dau nae ni wa kunyongwa kwa kuleta u Isis nchini kwetu tena kwenye shirika la umma, angalia huko juu aibu kabisa na mtu asibishe hapa kwa kuendeleza hilo
Mdondo,
Tusifanye mjadala wa ''merry go round,'' yaani tunazunguka hapo hapo.
Ritz katoa majibu nami nimechangia kuhusu huu udini wa NSSF kwa kutoa
picha kubwa zaidi.
Ingependeza kama ungetoa majibu ya hayo hapo juu kwanza.
Lakini ili kukupeleka mbele tuwe na mjadala wenye afya napenda kukuuliza
ikiwa ushasoma kitabu cha
Bergen (1981) ''Religion and Politics in Tanzania,''
na kitabu cha
Sivalon (1992) ambavyo vyote vinashutumu Kanisa kwa ubaguzi
dhidi ya Waislam.
Hebu soma hapo chini:
''Hivi sasa kuna vitabu viwili vilivyoandikwa na Wakristo wenyewe vinavyothibitisha kuwa Wakristo wametumia nyadhifa zao katika serikali kuuhujumu Uislam na Waislam.
Jan P van Bergen katika kitabu chake, ''Development and Religion in Tanzania,'' (1981) ametoboa siri kuhusu uadui aliokuwa nao
Rais Mstaafu, Nyerere dhidi ya Uislam na Waislam. Kitabu kinaeleza kwa ufasaha jinsi
Nyerere wakati alipokuwa madarakani alivyokuwa akifanya mikutano ya siri na viongozi wa Kanisa kuweka mikakati ya kuupa nguvu Ukristo. Katika mikutano hiyo
Nyerere aliwahakikishia viongozi wa Kanisa kuwa anaunga mkono Ukristo. Kitabu hicho kinaeleza jinsi
Nyerere alivyotimiza ahadi yake hiyo kwa Kanisa kwa kuhakikisha kuwa anawapa Wakristo nafasi za juu katika serikali na chama. Kitabu hiki kilikuwa kinauzwa Catholic Bookshop, Dar es Salaam. Lakini ilipokuja kudhihirikia Kanisa kuwa kitabu hiki kilikuwa kinatoa habari nyeti na siri za Kanisa kuhusu njama dhidi ya Waislam, kwa haraka sana kikaacha kuuzwa. Hadi hivi sasa kitabu hicho ni marufuku kuletwa tena Tanzania.
Kitabu cha pili ni cha
Dr John C. Sivalon, Kanisa Katoliki na ''Siasa ya Tanzania Bara 1953 Hadi 1985,'' (1992). Kitabu hiki kinaeleza njama ndani ya serikali kuuhujumu Uislam.
Sivalon anafichua kuwa kuanzia mwaka 1961 baada ya Tanganyika kupata uhuru, Kanisa lilikuwa na hofu mbili. Hofu ya kwanza ilikuwa umoja wa madhehebu za Kiislam kati ya Sunni, Bohora, Ismailia na Ithnasheri. Hofu ya pili ilikuwa kuhamishwa kwa makao makuu ya EAMWS kutoka Mombasa kuja Dar es Salaam. Kanisa lilikuwa linahofu kuwa mali walizokuwanazo Waasia Waislam zikitiwa katika harakati za Waislam ambao walikuwa na nguvu kubwa katika uwanja wa siasa zitaathiri maslahi ya Ukristo katika Afrika ya Mashariki. Kwa ajili hii Kanisa likatanganza kuwa Uislam ni adui wake na ikaanza mikakati ya hujma dhidi ya Uislam ili kuudhoofisha.''
Hadi leo Waislam hatujapewa majibu ya hayo hapo juu.
(Kutoka Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes...'')
Ritz ameleta tena ushahidi wa udini unaolalamikiwa:
Today 07:09
#594


By
adobe 
Crdb is not a goverment entity is public private company you girl
Haya basi achana na CRDB na hii hapa...
VETA
1 Mkurugenzi Mkuu Zebadiah S Moshi MKRISTO
2 Mkurugenzi wa Utumishi Mrs Adeline Macha MKRISTO
3 Mkurugenzi wa Mafunzo Mrs Leah Lukindo MKRISTO
4 Mkurugenzi wa Fedha Mrs N Mwakalukwa MKRISTO
5 Mwanasheria wa Mamlaka Mrs Adeline Macha MKRISTO
6 Mkurugenzi wa Ukaguzi wa Hesabu Shukran Mukama MKRISTO
MUHIMBILI
1 AG.Mkurugenzi Mtendaji Prof. Lawrence Museru MKRISTO
2 Mkurugenzi wa Huduma za Matibabu Dr.Edwiga Swai MKRISTO
3 Mkurugenzi wa Huduma za Upasuaji Dr.John Kimario MKRISTO
4 Mkurugenzi wa Huduma za Kliniki Dr.Praxeda Ogweyo MKRISTO
5 Mkurugenzi wa Manesi Sister Agnes Mtawa MKRISTO
6 Mkurugenzi wa Huduma za Ufundi Gaudence Aksante MKRISTO
7 Mkuu wa Ugavi Pindani Nyalile MKRISTO
8 Mkurugenzi wa Utumishi na Mipango Makwaia Makani MKRISTO
9 Mkurugenzi wa Ukaguzi wa Hesabu Constantin Kalipen MKRISTO
10 Mkuu wa Idara ya Uhusiano Aminiel Buberwa MKRISTO
11 Mkurugenzi wa fedha Gerald Germia MKRISTO
12 DIT Muduhu Gae MKRISTO
13 DLS Veronica Hela MKRISTO
14 Mkurugenzi wa Mafunzo Faraja Simon MKRISTO
TANESCO
1 Mkurugenzi Mtendaji Eng. Felchesmi Mramba MKRISTO
2 Mwanasheria wa Shirika Godson Makia MKRISTO
3 Meneja Mkuu wa Uzalishaji Eng. Boniface Njombe MKRISTO
4 Mkurugenzi wa Ukaguzi wa Hesabu Ms. Zelia Njeza MKRISTO
5 Kaimu Mkurugenzi usafirishaji Christrian Msiani MKRISTO
6 Kaimu Mkurugenzi D&CS Sophia Mgonjac MKRISTO
7 Kaimu Mkuu wa Masuala ya fedha Anetha Chengula MKRISTO
8 HRM Watson Mwakyusa MKRISTO
9 Kaimu mkurugenzi mkuu Nazir Yazid Kachwamba MUISLAM
10 kaimu mkurugenzi mkuu wa uwekezaji Decklan Mhaiki MKRISTO
11 Meneja Mawasiliano Andrian Severian MKRISTO
Shirika la Viwango Tanzania (TBS)
1 Kaimu Mkurugenzi Mkuu Joseph B Masikitiko MKRISTO
2 Director of Standards Agnes Mneney MKRISTO
3 Director of corporate Serv (Ag) Mr. Emmanuel Ntelya MKRISTO
4 Director of Quality management Tumaini Mtitu MKRISTO
5 Doc and ICT Manager Matilda Kasanga MKRISTO
6 Processing Stds Manager Theresia Hubert MKRISTO
7 Director of testing and Calibration Edna Ndumbaro MKRISTO
8 Testing and Calibration Manager Dunstan Kalugira MKRISTO
MAMLAKA YA MANUNUZI (PPRA)
Mtendaji Mkuu Laurent Shirima MKRISTO
Mkurugenzi wa Malalamiko Ayubu Kasuwi MUISLAM
Mkurugenzi wa Huduma Hanah Mwakalinga MKRISTO
Mkurugenzi wa Kompyuta Peter Shilla MKRISTO
Mkurugenzi wa Sheria Bertha Soka MKRISTO
Mkurugenzi wa Ukaguzi wa Hesabu Chris Mwakibinga MKRISTO
Mkuu wa Kitengo cha Ununuzi Robert Kitalala MKRISTO
kaimu Mkurugenzi uwezeshaji na ushauri Eng.Hawadhi Suluo MUISLAM
EWURA
1 Mkurugenzi Mkuu Felix Ngamlagosi MKRISTO
2 Mkuu wa Huduma za Sheria Ms. Miriam G. Mahanyu MKRISTO
3 Mkurugenzi wa Maji na Majitaka Eng. Mutaekulwa Mutegeki MKRISTO
4 Mkurugenzi Gesi asili Eng. Charles Omujuni MKRISTO
5 Mkurugenzi wa umeme Eng. Anastas Mbawala MKRISTO
6 Director of Regulatory Economics Msafiri Mtepa MKRISTO
7 Director of Petroleum Gashaza MKRISTO
8 Director of Corporate Affairs Naungishu Mollel MKRISTO
10 Chief Internal Auditor Mr. Fred Msemwa MKRISTO
11 Executive Assistant to Director General Ms. Hawa Lweno MUISLAM
12 Head of Procurement Management Unit Mr. Deogratius Kumalija MKRISTO
Baada ya ushahidi waliotoa watetezi wa Dr. Dau Jamiiforums wameamua kuufunga mjadala pengine kwa kuona ukweli kuwa kama kulalamika tungelalamika Waislam si wao Wakristo waliohodhi fursa na nafasi zote nchini.
- kuu
-
No comments:
Post a Comment