Wanamajlis,
Kiasi cha kama miaka miwili iliyopita palikuwa na mjadala mkali sana
hapa ukumbini kuhusu hotuba ya Mwalimu Nyerere alipomtaja Abdul
Sykes.


Yericko Nyerere, Maalim Faiza Foxy na wengineo walichangia sana
lakini hakuweza kuileta ile hotuba.

Hotuba imepatikana lakini ile sehemu ilosababisha mjadala mkali haimo.

Nakuombeni ingieni hapo chini msikilize hii hotuba na msome niliyoongeza
kuiweka vizuri hotuba hii ya Baba wa Taifa:

Mohamed Said: Nyerere Alipomzungumza Abdul Sykes