Mwl.Julius K. Nyerere akikabidhiwa meza ya ofisi yake ya TANU na wazee wa DSM! Mmoja ya walio ktk picha hii ndiyo alitengeneza meza hiyo.Je tunawajua wazee hawa?Na hapo ni wapi ktk DSM hii?Karibuni kwa michango yenu wana D'salaam.
Tuesday, 19 January 2016
KUTOKA FACEBOOK: ALI MSHAM NA JULIUS NYERERE 1955
About Mohamed Said Historia, Siasa na Maendeleo Tanzania
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment