Friday 22 January 2016

UPINZANI DHIDI YA HISTORIA YA KWELI YA TANU NA UHURU WA TANGANYIKA 4





Kushoto Prof. Haroub Othman, Ahmed Rashad na Sheikh Ahmed Islam


''Mwaka a 1986, miaka miwili kabla, baada ya takriban miaka ishirini na tano ya ukimya, Ally Sykes alikubali kufanya majadiliano na mwandishi wa Kiingereza kutoka Africa Events, Paula Park. Park akachapisha majadiliano aliyofanya na Ally Sykes kuhusu ukoo wa Sykes  na mchango wao katika historia ya uhuru wa Tanganyika.Makala ile iliposomwa Ally Sykes akawa anapata simu kutoka kwa marafiki zake na kwa wafanyabiashara wenzake wakitaka uhakika kama yale yaliyoandikwa katika gazeti lile kweli yeye ameyasema. Haukupita muda mrefu, maofisa wa Idara ya Uhamiaji walimtembelea Park na kumuomba aondoke nchini.''
Kutoka kitabu cha ''Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes...''


Baraza la Wazee wa TANU 1955

No comments: