Kuna wakati haikua tabu
kulijua gazeti la Kiislam kutoka magazeti mengine.
Siku hizi si rahisi tena.
Unaweza ukadhani labda kichwa cha habari ni kutoka gazeti la Chama Cha
Mapinduzi ''Uhuru'' au ''Mzalendo.''
Nyakati zimebadilika na hivyo hivyo baadhi ya magazeti
ya Kiislam nayo yamekumbwa na upepo wa mabadiliko.
Anaweza mtu akajiuliza kitu gani kimesababisha hali hii ambayo kwa kiasi fulani si tu imeshangaza jumuia ya Waislam wa Tanzania hasa wa Bara ila imesababisha kupuuzwa kwa baadhi ya magazeti haya kwa sababu ya kuwa yameondokewa na msisimko uliokuwapo hapo kabla.
Anaweza mtu akajiuliza kitu gani kimesababisha hali hii ambayo kwa kiasi fulani si tu imeshangaza jumuia ya Waislam wa Tanzania hasa wa Bara ila imesababisha kupuuzwa kwa baadhi ya magazeti haya kwa sababu ya kuwa yameondokewa na msisimko uliokuwapo hapo kabla.
Ndugu msomaji hebu pitia vichwa vya habari hapa chini:

No comments:
Post a Comment