Thursday 31 March 2016

AMAN THANI ANAELEZA WEMA WA BWANA JELA KILONZI

Utangulizi

Baada ya kumsikiliza Aman Thani akieleza shida na unyama waliokuwa wakifanyiwa jela swali la kwanza lililonijia ni kuwa inawezekanaje Waislam wakafanyiana unyama wa kiwango kile ilhali Allah amesema Muislam nduguye ni Muislam na Zanzibar ndiyo ilikuwa kitovu cha Uislam Afrika ya Mashariki na Kati?

Zanzibar inarejea hivi sasa kule ilikotoka. Wazanzibari hawajajifunza? 

No comments: