Tuesday, 15 March 2016

PEMBA: THE FIRE NEXT TIME

FireNextTime.JPG

Wakati James Baldwin anaandika maneno haya ambayo ndiyo jina la kitabu chake hiki mashuhuri kuhusu ubaguzi Marekani, nchi ile ilikuwa ikipitia kipindi kigumu sana katika historia yake. Jamii moja ilikuwa ikibaguliwa na kufanyiwa kila aina ya madhila kuanzia kupigwa na polisi, kusakasiwa mbwa,  kumwagiwa maji ya washawasha nk. Nilipoziona picha hizo hapo chini kutoka Pemba fikra yangu ya kwanza ilikwenda kwa kasi ya ajabu kwa mwandishi huyu nguli James Baldwin na kitabu chake hicho - The Fire Next Time...











No comments: