Thursday 23 February 2017

ALLAH AMPE UMRI TAWIL MZEE WETU ALI HASSAN MWINYI




*Hii Story ni Uzushi. Mzee yuko salama nyumbani kwake na jioni hii ataungana na Jumuiya ya Mabalozi pamoja na wadau wengine katika kusherehekea Siku ya Taifa ya Kuwait iliyoandaliwa na Balozi wa nchi hiyo hapa Dar es Salaam*


Tunamuomba Mwenyezi Mungu amjaalie afya na siha njema na umri mrefu- Amiin 

_Dkt Abdullah H. MAKAME_ Katibu wa Rais Msaafu Mzee Ali Hassan Mwinyi.


Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi akiwa katika dhifa ya Siku ya Kuwait leo

No comments: