![]() |
Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere (1922 - 1999) |
MASHUJAA WALIONYANYUA SILAHA
![]() |
Bushiri Bin Harith |
![]() |
Sultani Abdulrauf Songea Mbano Shujaa wa Maji Maji |
Selemani Mamba Shujaa wa Maji Maji |
MISINGI YA
UTAIFA ILIYOWEKWA NA AFRICAN ASSOCIATION
1929 - 1954
Kushoto aliyesimama ni Ally Kleist Sykes, na kulia kwake ni
Abdulwahid Kleist Sykes, mbele kushoto ni Kleist Sykes
Mbuwane na Abbas Kleist Sykes. Katika hawa aliye hai ni Abbas.
Ukoo huu umeacha kumbukumbu nyingi kwa maandishi katika harakati za
kuunda African Association 1929 na kuunda TANU 1954. Picha hii imepigwa
mwaka wa 1942 Abdul aliporudi Dar es Salaam kutoka Lower Kabete Kenya
alipokuwa akipata mafunzo ya kijeshi katika King's African Rifles kabla
hajakwenda Burma kujiunga na Burma Infantry. Angalia utaona Abdul amevaa
sare ya Jeshi la Mfalme wa Uingereza. Ilikuwa akiwa Burma Vita Vya Pili Vya Dunia
(1938 - 1945) ndipo alipoamua kuwa 6th Battalion iliyokuwa na askari kutoka
Tanganyika waunde TANU wakirudi Tanganyika kudai uhuru.
WAZALENDO
WAPIGANIA UHURU KATIKA TANU
1954 - 1961
Waasisi wa TANU 7 Julai 1954 |
![]() |
Baraza la Wazee wa TANU |
Barua ya kujiuzulu kazi ya Mwalimu Julius Nyerere, 1955 |
![]() |
Hamza Kibwana Mwapachu (1913 - 1962) |
![]() |
Abdul Sykes (1924 - 1968) |
Kushoto: Dossa Aziz, Julius Nyerere, Abdulwahid Sykes na Lawi Sijaona
katika dhifa ya kumuaga Nyerere safari ya pili UNO 1957
Kushoto: Bi. Chiku bint Said Kisusa, wa tatu Julius Kambaraga Nyerere wa tano Bi. Titi Mohamed na Bi. Tatu bint Mzee wanamsindikiza Mwalimu Nyerere Uwanja wa Ndege safari ya UNO 1955 |
Kulia: Bi. Titi Mohamed, Clement Mohamed Mtamila, Sheikh Suleiman Takadir, Julius Nyerere Nyuma kulia: John Rupia, Rajab Diwani na Mama Maria Nyerere |
UPINZANI WA SHEIKH HUSSEIN JUMA (UTP) 1956
NA
ZUBERI MTEMVU (ANC) 1958
![]() |
Sheikh Hussein Juma Vice President United Tanganyika Party (UTP) |
Zuberi Mtemvu President African National Congress (ANC) |
MIKUTANO YA TANU MNAZI MMOJA NA JANGWANI 1954/55
Mwalimu Julius Nyerere na Bi. Titi Mohamed katika mkutano wa hadhara Viwanja Vya Jangwani
BANTU GROUP WAHAMASISHAJI NA WALINZI WA VIONGOZI 1955
![]() |
Kulia: Zuberi Mtemvu, Julius Nyerere na John Rupia waki wa na Bantu Group Robert Makange mwandishi wa gazeti la Mwafrika |
KUMBUKUMBU YA MIAKA 20 YA TANU 1974
KUMBUKUMBU YA MIAKA 50 YA UHURU 2011
Ofisi Ndogo ya CCM Sherehe ya Miaka 50 ya Uhuru 9 December, 2011 |
Jengo Jipya la CCM Lumumba Avenue Dar es Salaam |
UHURU 1961
Mwalimu Nyerere na Bi. Titi Mohamed |
![]() |
Kulia: Sheikh Issa Nasir, Oscar Kambona, Bi. Mugaya Nyang'ombe kulia kwa Mwalimu Nyerere Rajab Diwani Karimjee Hall |
![]() |
Baraza la Kwanza la Mawaziri 1961 |
PICHA MCHANGANYIKO
![]() |
Dome Okochi Budohi |
No comments:
Post a Comment