Saturday, 14 June 2014

KUTOKA JF: WAHARIRI WA DAILY NEWS NA UHURU WALIVYOTATAZIKA NA ABDUL SYKES 1988

1.    Re: Tanganyika(TANU) imetoka mbali waasisi wake wengi wao wametangulia mbele ya haki
Quote By THE BIG SHOW View Post
Moh said.

Tulishakuambia sisi tunakesha humu.

Hatubanduki labda ubanduke wewe.


Popote pale ulipo wewe sisi tunaweka kambi.

Shusha Vituu.







The Big Show,
Tumeishia pale ambapo 1988 Africa Events ilipochapa kumbukumbu
ya Abdul Sykes kuadhimisha miaka 20 baada ya kifo chake mwaka
1968.

Kuna kisa cha bibi moja wa Kiingereza anaitwa Paula Parks.
Bibi huyu alikuwa mmoja wa waandishi wa Africa Events.

Kisa chake utakiona hapo chini.
Baada ya Africa Events kuchapa ile kumbukumbu...

Tuendelee.

Ukoo wa Sykes wakanunua nafasi katika magazeti ya Daily News
na Uhuru kuchapa kumbukumbu ya Abdul Sykes.

Hebu soma hapo chini nini kilitokea:
''In response to Kiwanuka’s criticism the author published a short
biography of Abdulwahid to commemorate twenty years of his
death.[1] This was followed by a memorial by the family in the
Party and Government papers.[2] This was not to pass without
incident. The editor of the Daily News, the government paper,
rang up the family late in the night informing them that he
would not publish Abdulwahid’s memorial the following day
until he got permission from Party headquarters in Dodoma.
The reason given was that his life history touched important
events and personalities in the history of the nation.
 But somehow
the memorial was published in both the Party and government dailies
the following morning.

Two years earlier in 1986, after a silence of almost twenty-five
years, Ally Sykes gave an interview to a British journalist, Paula
Park.
 Park wrote a full page article on the family’s political history. [3]
When the article was published Ally Sykes received telephone calls
from both friends and business associates asking him if he was
quoted correctly. Shortly after, Park was quietly asked by immigration
officials to leave the country.''

Kitu ambacho ningependa kueleza hapa ni kuwa ingawa kumbukumbu
zilichapwa lakini uhariri wake ulikuwa mkali sana.

Mambo muhimu katika maisha ya Abdul Sykes yalikatwa.

Wanajamvi,
Kitu cha kujiuliza ni hiki:

Ni kitu kipi kinasababisha hii hofu katika maisha ya Abdul Sykes?


[1] See M. Said, ‘Founder of a Political Movement: Abdulwahid K.
Sykes 
1924-1968’, Africa Events, London September, 1988, pp.
38-41.

[2] See Daily News, 23 rd October, 1988. Also Uhuru, 23 rd October,
1988.

[3]" ‘An Unsung Hero?’ Africa Events, London, November 1986 p.48.
Last edited by Mohamed Said; Today at 06:38.
Clean9


No comments: