Quote By Mohamed Said View Post
Kilapalio,
Hutaelewa kwa kuwa ulichotanguliza ni ''choyo.''
Waislam na Uislam utanufaika.

Ungetanguliza mapenzi na udugu usingepata shida wala hofu.

Nadhani unajua kuwa Kanisa linapokea fedha kutoka serikalini
kuendesha mambo yake.

Je uko tayari kuona Waislam wanatengewa fedha na serikali
kwenda misikitini kuendesha miradi ya Kiislam?

Ukitaka zaidi katika haya Faiza Foxy tunae hapa yeye ni mtaalamu
wa MoU kati ya Serikali ya Tanzania na Makanisa.

Ni mabilioni ya shilingi...

Mambo haya yanataka akili iliyotulia si mambo ya ushabiki na kukimbilia
kusema.

Inataka tafakuri.
Inahitaji stahamala vinginevyo tutaiangamiza nchi.
Nchi iangamizwe mara ngapi