- Mzee Mwanakijiji,Hakika huu mzunguko unachukua kasi kubwa kila kukicha.Watoto na wajukuu wa wazalendo waliopigania uhuru wa Tanganyika sasawanatafakhar na historia ya wazee wao.Jana hapa Majlis kuna mtu anaitwa Tarangire yeye aliwakebehi hawa wazalendo.Nilimuonya nikamwambia toka majuzi watu wengi wanaingia humu kumsomaAli Msham na tawi la Mtaa wa Jaribu Magomeni Mapipa 1954 na wengine ni watotona wajukuu wa hawa wazalendo.Nikamtahadharisha kuwa watu hawa watafadhaika sana ikiwa watakusoma weweunawatukania wazee wao bila kosa lolote.Ikiwa kosa lipo basi ni kwa wazee wao kuwa mstari wa mbele kupigania uhuru wanchi yetu.Asubuhi hii nimeletewa picha hiyo hapo chini na rafiki yangu Athman Kassanda nakanisahihisha jina la marehemu mama yake kuwa siyo Khadija biti Said bali niKhadija biti Jaffar:
Waliosimama wa pili kushoto ni Ali Msham (Mwenyekiti wa Tawi la MagomeniMapipa) na wa nne ni Bi. Khadija biti Jaffar (mama yake Athman Kassanda) watano Bi. Mtendwa biti Iddi Sudi, wa sita biti Feruzi wa saba Mama Tindwa
waliokaa wa kwanza ni Mzee Mwinjuma Mwinyikambi na wa tatu ni Bi. TitiMohamed na pembeni ni mwanae.
tawi hilo na hapa walimkaribisha Bi. Titi na Mzee Mwinjuma Mwinyikamb wajeNimeelezwa kuwa hao ndiyo walikuwa wanachama wa mwanzo wa TANU katika
tawini wafahamiane.
tano Bi. Mtendwa biti Iddi Sudi, wa sita biti Feruzi wa saba Mama Tindwa
tawini wafahamiane.
No comments:
Post a Comment