Sunday, 19 June 2016

TAAZIA: ABDULRAHMAN LUKONGO AMETANGULIA MBELE YA HAKI - TAARIFA YA HAJI S MANARA

Mstari wa mwisho ulio na watu wawili kushoto ni Abdulrahman Lukongo
na huyo mwingine ni Hamisi Fikirini wote marehemu
Photo: Lukongo
Abdularahman Lukongo wa kwanza kushoto katika timu ya taifa Kongo 1967

Kushoto wa tatu ni Abdulrahman Lukongo
[5:49pm, 19/06/2016] Kheri: Tanzia.....winga wa zamani wa kimataifa wa klabu ya yanga anayetajwa kuwa winga wa muda wote nchini kwa vigezo vya waliomuona..mzee wetu Abdurahman Lukongo amefariki mida hii ktk hospitali ya Amana iliopo jijini Dar es salaam
Taratibu za mazishi tutafahamishana.

Msiba upo nyumbani kwake makutano ya mtaa wa Simba na kariakoo.maeneo ya kariakoo jijini hapa...

Inna lillah wainna ila ilaihi raajiuun...

Gogo la Kimanyema limeanguka leo..!!

By Haji S.Manara

[5:51pm, 19/06/2016] Kheri: Amefariki Asubuhi saa 2:30,Muhimbili sio Amana damu iliganda kwenye ubongo.

[5:52pm, 19/06/2016] Kheri: Mazishi kesho Kisutu baada ya sala ya adhuhuri

No comments: