Mohamed Said, hakika kuna mambo yanatia maudhi si kwasababu nyingine bali pale yanapotoka.
Wewe ni mzee na hutakiwi kuwa tricky za mjidala za kitoto kiasi hiki.
Wapi nimeandika kuishi na watu si muhimu?
Onyesha hapa jamvi lione, kama hutaonyesha basi tambua unaukejeli umri wako na heshimaWewe jnayeweza kumkashfu Nyerere unasababu za kunisitiri mi
.Hapa ndipo panaonyesha jinsi usivyoweza mjadala na usivyoelewa.
Hivi mtu anaweza kuomba document tu bila kusema document gani na wewe ukatoa tu bila kujua ameombwa nini!!!
Hakuna mahali nimeomba document , nilichokiomba ni katiba ya kuandika au ya kukopi ya Abdul Sykes au Baba yake au ukoo mzima kama wanayo.
Hadi sasa hukuweza kuleta na kusingizia zimeibiwa Dodoma.
Ukweli, hakuna mahali Abdul aliandika katiba tukujia elimu yake ya darsa la 10. Ni fact
Kitu kinachoitwa katiba Abdul Sykes amekiona kutoka kwa Nyerere.
Sasaunasema Nyerere alikopi, well, iwe hivyo au la bado alikuwa anajua nini kinatakiwa.
Ingalikuwa rahisi,Abdul Sykes angekopi ziku nyingi. Hawakuweza kwasababu hawakujua namna ya ku transform chama kuwa institution, yeye na baba yake.
Waiendesha chama kwa umaarufu na hilo si jambo baya.
Ukweli upo pale pale hawakuwahi kuandika katiba asilani hadi anfariki Husemi nimeomba document gani, na kwa jinsi usivyoweza au usivyojua unaleta documents,yaani ukiombwa unatoa tu bila kujua umeombwa nini, real mzee!
Kwamba mtu anaweza kusema MS naomba document nawe ukaingia kabatini na kuleta document usiyojua ni ipi! it doesbn't make sense at all rather than telling us more
Mohamed kilichotakiwa si document ni katiba au rasimu aliyoandika Abdul Sykes!
Micro film imeibiwa Dodoma haijibu hoja na ni njia za mkato za kukwepa ukweli, tunataka ushahidi kuwa Abdul Sykes aliwahi kuandika katiba ya chama kabla ya Julius Nyerere! period Mwiba upi umekwama? Mwiba umekwama kwako ndiyo maana unaleta document yoyote na kusema ni katiba ya TAA! Pathetic
Sasa wanajmvi someni katiba ya TAA aliyoandika Abdul Sykes probably kwa msaada wa nyaraka za baba yake Kleist Sykes.
Someni katiba ya chama hapa chini kaa ilivyoletwa na Alama Mohamed Saidi
Katiba ya Abdul Sykes- Mohamed Said
Halafu katiba ya Abdu Sykes inaendelea hapa kama ilivyoletwa na Mwapachu katika kuongeza nguvu umuhimu wa katiba ya Abdul Sykes Hapa mnaweza kuona 'katiba' aliyoandika Abdul Sykes kama ilivyoletwa na Mohamed Said. Please MS usimdhalilishe Abdul kiasi hicho.
Tafadhali sana uwezo wako usilete adha na fadhaa kwa familia nzima.
Kama huna hoja , kukaa kimya ni busara kuliko kuendelea kumdhalilisha Abdul.
Mtu akisoma hiyo kama ndiyo katiba ya kuunga unga vipande vigine kutoka kwa mwapachu na maongezi kuwa katiba ni dhalili ya juu sana. Kwamba hiyo ndiyo katiba aliyoandika Abdul Sykes ni aibu ! si kwa aliyeandika bali wewe uliyeileta hapa bila kujali dhalili yake!
No comments:
Post a Comment