| Viongozi wa msafara Dr. Dau na Sheikh Aziz |
| Kiongozi wa Wanawake Bi Hanifa |
| KIongozi wa msafara wa maziko Dr. Ramadhani Kitwana Dau |
| Sheikh Aziz wa Azam Marine akiwaelekeza akina mama Sheikh Aziz |
| Sheikh Ponda Issa Ponda |
| Msafara ukiwa bandarini Zanzibar kushoto ni Dr. Bushiri Tamim, Sheikh Abdallah na Sheikh Aziz |
| Nyumbani kwa Aboud Jumbe nyuma ya nyumba yake lilipochimbwa kaburi |
| Ali Sultani Issa akiwa mazikoni |
| Jeneza likipelekwa kaburini |
| Waombolezaji wamelizunguka kaburi |
| Eddie Riyami akiwa mazikoni |
| Abdulswamad na Hamzah mazikoni |
| Mazikoni nyumbani kwa Aboud Jumbe Migombani |
| Vyombo vyai habari vikirusha matangazo kutoka nyumabani kwa Aboud Jumbe |
| Waombolezaji baada ya kurudi Dar es Salaam walifanya dhkri kwa Allah kumuombea dua Alhaj Aboud Jumbe |
No comments:
Post a Comment