Thursday 8 September 2016

MHESHIMIWA KATANI (CUF) MBUNGE KIJANA WA TANDAHIMBA


Utangulizi

Mheshimiwa Katani Mbunge wa Tandahimba ni kijana kwa maana halisi ya neno lenyewe. Katika muda mfupi wa kuzungumza nae kwa mara ya kwanza akisubiri kikombe cha kahawa alipopita nyumbani kwa Mwandishi, Mwandishi amegundua kuwa Mh. Katani amekalia kitabu ambacho ikiwa atakiandika kinatosha kuwa rejea ya kueleza adha za siasa za upinzani khasa wakati wa uchaguzi mkuu. Ukurasa huu umefunguliwa rasmi kumsubiri Mh. Katani afunguke kwa faida ya wapenda demokrasia...


Mheshimiwa Katani Mbunge wa Tandahimba

No comments: