Thursday 1 March 2018

WOMEN LEADERSHIP SUMMIT 2018 MLIMANI CITY 27 FEBRUARY 2018


Mwandishi katika video hii anaanza kuzungumza katika dakika ya 40:40

Hii ni simulizi ya mkasa wa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere ilipodhaniwa kalishwa chakula kilichotiwa sumu kwa nia ya kutaka kukatisha maisha yake nyumbani kwa Abdulwahid Sykes Mtaa wa Stanley na Sikukuu katika miaka ya kati 1950 baada ya Mwalimu kutoka UNO safari ya kwanza 1955
Bi. Mruguru bint Mussa
Mama yake Abdulwahid Sykes

Bi. Nyang'ombe Mugaya
Mama yake Baba wa Taifa
Kushoto Bi. Mwamvua bint Mashu (Mama Daisy), wa tatu
Bi. Titi Mohamed akifuatiwa na Bi. Zainab mke wa Tewa
Said Tewa

Kushoto Dossa Aziz, Julius Nyerere, Abdul Sykes na Lawi Sijaona

No comments: