Wednesday 6 June 2018

ALI MOHAMMED SAID (OKTOBA 17, 1942 - JUNE 2, 1918)

  1. Kiranga

    KirangaJF-Expert Member

    #5
    Today at 10:21 AM
    Joined: Jan 29, 2009
    Messages: 37,011
     
    Likes Received: 8,481
     
    Trophy Points: 280
    New


    Kweli.
    Mohammed Said wa JF kaweka picha zake nyingi hapa. Tofauti kabisa na huyo marehemu.
    SIGNATURE
  2. N

    narumukJF-Expert Member

    #6
    Today at 12:11 PM
    Joined: Feb 10, 2018
    Messages: 751
     
    Likes Received: 574
     
    Trophy Points: 180
    New


    Kumbe! Nilikuwa nimesituka sana

  3. Mohamed Said

    Mohamed SaidVerified User 

    #7
    7 minutes ago
    Joined: Nov 2, 2008
    Messages: 11,237
     
    Likes Received: 6,410
     
    Trophy Points: 280
    New


    Ndugu zangu,
    Ali Mohammed Said 
    tukifahamiana vyema sana na tukiishi sote Masaki
    kabla ya yeye kurudi kwao Zanzibar.

    Nakumbuka katika miaka ya 1980 Ahmed Rajab alikuja Dar es Salaam
    akitokeaLondon na ilikuwa mwezi Mtukufu wa Ramadhani kama huu.

    Rafiki yangu na jirani yangu Ahmed Maulid Mwana Diplomasia na ''linguist,''
    Mzanzibari akanialika futari nyumbani kwake na hiyo ndiyo ikawa mara yangu
    ya kwanza kufahamiana na Ahmed Rajab nyumbani kwa Ahmed Maulid na
    udugu wetu umedumu hadi leo.

    Mimi na Ahmed Rajab kwa kifo cha Ali Mohammed Said sote tumepoteza
    rafiki na ndugu kipenzi.

    Tunamuomba Allah amsamehe ndugu yetu madhambi yake na amtie peponi.
    Amin.

No comments: